Imewekwa tarehe: February 1st, 2024
“Najiuliza kwa miezi sita kama tumevuka lengo inamaana tunaweza kukusanya mara mbili na zaidi ya tulichokuwa tumejipangia, kama miezi sita tumeweza kufikia asilimia 104 imaana tumejipangia kiwango cha...
Imewekwa tarehe: January 29th, 2024
Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe ametembelea Kata ya Businde kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero za Wananchi zinazowakabili katika mazingira yao huku akiwataka wazazi na walezi kuhakiki...
Imewekwa tarehe: January 27th, 2024
Usafi wa mazingira wa Jumamosi ya mwisho wa mwezi umefanywa katika Stendi ya Zamani ya Nkwenda pamoja na barabara zinazozunguka eneo hilo, leo tarehe 27 Januari 2024 katika Kata ya Nkwenda Wilay...