Imewekwa tarehe: November 25th, 2023
Usafi wa mazingira wa Jumamosi ya mwisho wa wiki ya mwezi Novemba 2023 umefanyika katika viwanja vya Ofisi za Jengo Jipya la Halmshauri ya Wilaya ya Kyerwa likiambatana na zoezi la upandaji miti ya ma...
Imewekwa tarehe: November 22nd, 2023
Kikao cha Kamati ya Afya ya Msingi katika Wilaya ya Kyerwa kimefanyika leo tar. 22 Nov. 2023 katika ukumbi wa Mkuu wa Wilaya kwa ajili ya kujadili mpango wa kampeni ya umezeshaji wa dawa za kudhibiti ...
Imewekwa tarehe: November 21st, 2023
Katika mwendelezo wa kutembelea na kufanya mikutano ya hadhara na wananchi yenye lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi, Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe leo Novemba 21, 2023 amefa...