Imewekwa tarehe: September 30th, 2023
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa leo tarehe 30 Septemba 2023 wameshiriki katika bonanza la michezo lilofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Kyerwa.
Akifungua bonanza hilo Mkuu ...
Imewekwa tarehe: September 28th, 2023
Leo Tar. 28 Septemba 2023 Wazee wa Wilaya ya Kyerwa wameadhimisha Siku ya Wazee Duniani katika Kata ya Nyakatuntu na kutoa matamko kadhaa kwa serikali na jamii yakiwemo ya mmomonyoko wa maadili, wazee...
Imewekwa tarehe: September 26th, 2023
Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa leo tar. 26 Septemba 2023 wamefanya kikao kazi chenye lengo la kujadili na kutafutia ufumbuzi kero mbalimbali zinawakabili wafanyakazi katika mazingira yao...