Imewekwa tarehe: November 25th, 2021
Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa imepokea jumla ya shilingi 1,700,000,000.00 kupitia programu ya UVIKO-19 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba 85 vya madarasa katika shule 23 za sekondari za Serikali.
Kwa ...
Imewekwa tarehe: August 31st, 2021
Wafugaji katika nyanda za malisho ya Ruhita kata ya Kamuli wapelekewa mradi wa ujenzi wa josho la kuogeshea mifugo. Mradi huu unatekelezwa kwa mwaka wa fedha 2021/2022 na unaghalimu jumla ya kiasi cha...
Imewekwa tarehe: July 31st, 2021
Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Kundo Andrew Mathew (MB) akiwasistizia jambo Wataalamu wa Wizara yake mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Rashid Mwaimu (kulia kwa...