Imewekwa tarehe: February 28th, 2025
Mkutano wa Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa umefanyika leo tarehe 28 Februari 2025 kwa ajili ya kujadili taarifa ya utekelezaji wa robo ya pili, kuanzia mwezi Oktoba hadi Dese...
Imewekwa tarehe: February 14th, 2025
KAMATI ya Siasa ya Wilaya ya Kyerwa imefanya ziara leo, Februari 14, 2025 kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo ndani ya Halmashauri ya Wilaya na kuridhishwa na usimamizi wa miradi hiyo.
...
Imewekwa tarehe: February 11th, 2025
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa mafunzo ya elimu ya fedha kwa wadau mbalimbali kwa lengo la kuwajengea uwezo juu ya masuala ya fedha, utunzaji wa fedha na huduma ndogo za kifedha, yaliyotolewa l...