Imewekwa tarehe: July 18th, 2018
Mradi wa sambaza mbegu fasta katika Wilaya ya Kyerwa ulianzishwa mwezi mei, 2017 na ulitekelezwa kwa ufanisi katika Vijiji vinne vya Nyabishenge,Nyabikurungo,Rwenkende na Masheshe.
Katika kikao cha...
Imewekwa tarehe: June 12th, 2018
Mtandao wa wafugaji Nkwenda UNKWERWAKI, umepata fursa ya mafunzo ya siku moja juu ya ufugaji bora wa ng’ombe wa maziwa toka taasisi ya Animal Breeding East Africa (ABEA).Mafunzo haya yamefanyika katik...
Imewekwa tarehe: June 6th, 2018
Milioni moja na laki mbili (1,200,000) zatolewa rambirambi, Wakazi wa Kata ya Kibingo wakipewa Salaamu za pole. Salaamu hizi za pole zilitolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Kanali Mstaafu Shaban Lissu ...