• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

Imewekwa tarehe: July 24th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amezindua zoezi la chanjo na utambuzi wa mifugo leo Julai 24, 2025 katika Mnada wa Katera Kata ya Isingiro ambalo ni mpango wa Serikali kutoa ruzuku nchi nzima.

 Akiongea na wafugaji waliofika katika eneo hilo, Mhe. Msofe amewahimiza wafugaji wote wa Wilaya ya Kyerwa kuhakikisha wanachanja mifugo yao ili kuongeza ubora na thamani ya mifugo yao katika soko la ndani na nje ya nchi.

“Katika harakati za kuwainua wafugaji Serikali imekuwa na dhamana ya kutafuta masoko nje ya nchi, lakini tukumbuke kwamba kule nje wenzetu wanathamini sana ubora, hatuwezi kupeleka mifugo wala tukapeleka nyama ambazo zimetokana na mifugo dhaifu. Kwa hiyo ni lazima tuzingatie afya ya mifugo.

“Ili kulitekeleza hili, Serikali imeamua kutoa ruzuku kwa wafugaji, tumekuja na huu mpango tuwaombe muupokee kwa nia njema ili kuongeza ubora na thamani ya mifugo yetu,” ameeleza Mhe. Msofe.   

Daktari wa Mifugo wa Wilaya ya Kyerwa Dkt. Hassan Msoke amesema jumla ya dozi laki tano ya chanjo ya Ng’ombe 93,984 wanatarajiwa kuchanjwa na kutambuliwa pamoja na wanyama jamii ya ndege, kuku 286,746, bata 32,462, kanga 2,237 na bata mzinga 209. Huku akisema kalenda ya utekelezaji wa zoezi hilo katika Vijiji vyote itaanza rasmi tarehe 4 Agosti 2025 baada ya zoezi la uzinduzi.

Vile vile amesema gharama za kuchanja ngo’mbe mmoja itakuwa shilingi 500, ambayo sawa na nusu ya gharama za kawaida, huku hereni za utambuzi pamoja na chanjo ya wanyama jamii ya ndege zitatolewa bure.

Naye Mwenyekiti wa Wafugaji Wilaya ya Kyerwa Bw. Cleophace Mtungirei ameishukiuru Serikali kwa kuwapelekea ruzuku ya chanjo ya ng’ombe kwa gharama ndogo na kutoa rai kwa wafugaji wote kupeleka mifugo yote ikapatiwe chanjo na kuacha tabia ya kuficha baadhi ya mifugo ili mifugo yote ya Wilaya ya Kyerwa iweze kupatiwa chanjo ikiwa ni pamoja na kufuata maelekezo ya wataalam wa mifugo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • TUSICHOME MOTO MAZINGIRA YETU-DAS KYERWA

    July 17, 2025
  • TUTUNZE UBORA WA KAHAWA-DAS KYERWA

    July 16, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved