Imewekwa tarehe: April 26th, 2022
Wilaya ya Kyerwa, leo tarehe 26 Aprili, 2022 imeadhimisha sherehe za Muungano kwa kufanya usafi maeneo kadhaa ndani ya Wilaya. Zoezi la maadhimisho haya lilianzia eneo la ofisi za Halmashauri ambapo w...
Imewekwa tarehe: February 25th, 2022
JJAD Kagera Farmers (T) kwa kushirikiana na Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) imesitawisha miche ya kahawa aina ya robusta katika kijiji cha Karenge, Tarafa ya Kaisho Wilayani Kyerwa. Miche hiyo zaidi ya ...
Imewekwa tarehe: February 19th, 2022
Chama cha Skauti Wilaya ya Kyerwa,kimesajili jumla ya wanachama wapya 226 katika mahafali yaliyofanyika hivi karibuni, katika viwanja vya mpira wa miguu Isingiro.Katika mahafali hayo, yaliyohudhuriwa ...