• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Ujenzi na Zimamoto

Idara ya Ujenzi inayo jukumu kubwa la kutoa ushauri na kusimamia shughuli zote za idara katika sekta za barabara,majengo kwa taasisi na idara za Serikali,Sekta binafsi,pamoja na wananchi kwa ujumla.Lengo kubwa ni kuhakikisha kuwa shughuli zote katika vitengo mbalimbali vya idara vinasimamiwa kiufanisi.

Vilevile idara ya Ujenzi inahusika na kutoa ushauri kwa Halmashauri kuhusiana na masuala ya umeme,mitambo,na Zimamoto.Aidha,Kimuundo idara ya Ujenzi inavyo Vitengo vinne (4) ambavyo ni:Barabara,Majengo,Mitambo na Umeme,Zimamoto.


Mtandao wa Barabara

Wilaya inazo jumla ya km 738.90 za barabara.Kati ya hizo Km 126.0 ni za Wilaya, na Km 606.9 ni za Vijiji, na Km 6.0 ni barabara nyingine.Barabara nyingi zinapitika vizuri kwa kipindi chote cha mwaka isipokuwa kwa baadhi ya maeneo machache ambayo yanapitika kwa shida wakati wa vipindi vya mvua hususani barabara zenye viwango vya udongo.

Ili kuzihudumia barabara hizi, Halmashauri imekuwa ikitenga kiasi cha pesa katika mpango wake wa bajeti kila mwaka kwa ajili ya ukarabati wa maeneo korofi,matengenezo maalumu ya barabara, na kufufua barabara mpya.


Majengo

Idara huusika na usimamizi wa majengo ya Serikali ili yaweze kujengwa kwa ubora unaotakiwa.Kitengo kwa kushirikiana na idara mama kimekuwa kikitoa ushauri na kufanya usimamizi wa ujenzi wa majengo yanayoendelea kujengwa.


Mitambo na Umeme

Kitengo hiki kina jukumu la kusimamia mashine na mitambo inayomilikiwa na Halmashauri.Magari na vyombo vingine vya moto vimekuwa vikisimamiwa na kitengo hiki kwa matengenezo na uratibu wake kwa ushirikiano na  kitengo cha usafirishaji.

Kwa kuwa Halmashauri haina karakana ya magari, kitengo kimekuwa kikifanya ukaguzi na uhakiki wa matengenezo ya mitambo /magari na kuishauri Halmashauri.


Zimamoto

Utokeaji wa majanga ya moto na athari zake yamekuwa yakidhibitiwa na idara hii kwa kushirikiana na taasisi nyingine za usalama.Pamoja na umuhimu wake katika jamii kitengo hiki bado kinakabiliwa na changamoto nyingi hasa za vitendea kazi,na wataalamu.






Matangazo

  • TANGAZO LA KUPANGISHA VISIWA VYA OMWIZINGA (NYAKAZINGA NA IZINGA) NA FORONGO August 26, 2023
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA VYUMBA VYA BIASHARA KATIKA MJI WA BIASHARA NKWENDA MAENEO YA STENDI MPYA YA MAGARI September 19, 2023
  • Kuitwa kwenye usahili nafasi za Udereva Daraja la II utakaofanyika kuanzia tarehe 20/11/2022 mpaka tarehe 21/11/2022 November 14, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USALI June 23, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WAZIRI MKUU AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VIONGOZI WA MKOA WA KAGERA

    September 22, 2023
  • DC MSOFE: TUACHANE NA DHANA POTOFU JUU YA CHANJO

    September 15, 2023
  • DKT. RWEZIMULA ATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA VETA KYERWA

    September 14, 2023
  • DED KYERWA APOKEA VIFAA VYA MICHEZO

    September 09, 2023
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved