Imewekwa tarehe: July 18th, 2023
MKUU wa wilaya ya kyerwa Mhe. Zaituni Msofe leo tarehe 18 Julai 2023 ametoa wito kwa wazazi na jamii kwa ujumla kutimiza wajibu wa kuwalisha watoto ili kuboresha afya zao.
Amesema hayo katika kikao...
Imewekwa tarehe: July 17th, 2023
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Kyerwa leo tar. 17 Julai 2023 imepokea taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Mwaka 2020/2025 kwa kipindi cha Januari hadi Juni, mwaka huu kati...
Imewekwa tarehe: July 14th, 2023
Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kyerwa imetembelea na kukagua miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya Bilioni tano inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali ikiwa ni utekele...