Imewekwa tarehe: November 10th, 2020
Mheshimiwa Brigedia Marco Gaguti ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera,leo tarehe 9 Novemba, 2020 amegawa miche bora 300,000 ya Kahawa kwa wakulima.Mheshimiwa Gaguti aliyekuwa ameambatana na Mk...
Imewekwa tarehe: August 15th, 2020
Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa leo imekabidhi Taarifa ya Utekelezaji wa miradi inayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo Duniani kwa kushirikiana na Serikali ya Afrika Kusini. Miradi hii ni ya ujenzi wa...
Imewekwa tarehe: March 12th, 2020
Serikali, kupitia Taasisi ya Elimu Tanzania( TIE) leo tarehe 12 machi, 2020 imekabidhi jumla ya vitabu 25,752 kwa shule 21 za sekondari na shule 97 za msingi Wilayani Kyerwa.Akikabidhi vitabu hi...