Imewekwa tarehe: January 25th, 2021
Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, mheshimiwa Rashid Mwaimu, ameongoza zoezi la ugawaji wa vifaa vya ukamilishaji wa ujenzi wa madarasa kwa shule 5 za sekondari Wilayani hapa.
Halfa hiyo iliyofanyika katika...
Imewekwa tarehe: January 6th, 2021
Waziri wa nchi, ofisi ya Rais na Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Seleman Jaffo amesikitishwa na maendeleo hafifu ya ujenzi wa jengo la utawala la Halmashau...
Imewekwa tarehe: December 16th, 2020
Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, mheshimiwa Rashid Mwaimu, leo amezindua mnada wa mifugo wa Katera, uliopo Wilaya ya Kyerwa.Mnada huo ambao kwa kipindi cha miaka mingi ulikuwa umesimamisha shughuli zake kuto...