Imewekwa tarehe: April 19th, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mheshimiwa Zaituni Abdalla Msofe amezindua bodi ya afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa siku ya Jumanne tarehe 18/04/2023.Uzinduzi huu ulifanyika katika ukumbi wa Hos...
Imewekwa tarehe: January 9th, 2023
Wilaya ya Kyerwa kwa kipindi cha mwezi Disemba, 2022 mpaka Januari, 2023 imezindua vituo 4 vya kutolea huduma za Afya Wilayani hapa vilivyogharimu kiasi cha shilingi 1,224,685,000. Vituo hivi ni...
Imewekwa tarehe: October 6th, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Mheshimiwa Rashid Mohamed Mwaimu, anawakaribisha wananchi wote wa Wilaya ya Kyerwa na Viunga vyake kuupokea, kuukimbiza, na kuusindidiza Mwenge wa Uhuru 2022 kwa kipindi chot...