• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KYERWA SINA DENI NA NYINYI-NDG. USSI

Imewekwa tarehe: September 11th, 2025

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2025 Ndugu Ismail Ali Ussi ameridhishwa  na utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo katika Wilaya ya Kyerwa.

 Ndugu Ussi baada ya kutembelea, kuzindua, kufungua na kuweka mawe ya Msingi katika Miradi saba yenye thamani ya shilingi bilioni 2.2 tarehe 11 Septemba 2025, amesema Wilaya ya Kyerwa imetekeleza miradi kwa ufanisi mkubwa na ameridhishwa na utekelezwaji huo.

Miradi hiyo ni; Kuweka jiwe la msingi katika mradi wa Barabara ya Mkwenda-Mabira yenye urefu wa 1KM na Mradi wa Maji Mabira, Kutembelea Kitalu cha Miche ya Miti cha Kadres-Kitwe, Kuzindua Tawi la Benki ya CRDB la Nyakatuntu Kyerwa.


 Miradi mingine ni kutembelea Mradi wa Vijana Muungano Kyerwa wanaojishughulisha na Ufyatuaji wa matofali ya Block ,kuweka jiwe la msingi katika Wodi ya Wazazi- Zahanati ya Rukuraijo na Kufungua Mradi wa Vyumba Vitatu vya Madarasa na Ofisi moja yaWalimu  katika Shule Msingi Muhurile katika kata ya Nkwenda.

Miradi yote imekubaliwa na Mwenge wa Uhuru na kuipongeza kwa usimamizi mzuri wa miradi ya Maendeleo inayotekelewa katika Wilaya Kyerwa.

Mwenge wa Uhuru umekimbizwa kwa urefu wa 75Km  na unataraijwa kukabidhiwa katika Wilaya ya Karagwe tarehe 12 Septemba 2025.

Kauli mbiu ya Mwenge wa Uhuru 2025 ni "Jitokeze Kushiriki Uchaguzi Mkuu wa  Mwaka 2025 kwa Amani na Utulivu".

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA GARI August 27, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA SINA DENI NA NYINYI-NDG. USSI

    September 11, 2025
  • MWENGE WA WA UHURU 2025 WAKABIDHIWA MKOANI KIGOMA

    September 15, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIKI KATIKA MAZOEZI

    September 19, 2025
  • NYARUZUMBURA MABINGWA LIGI YA WILAYA YA KYERWA

    September 20, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved