• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office, Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MHE. MSOFE ASISITIZA WANANCHI KISHIRIKI UCHAGUZI MKUU

Imewekwa tarehe: October 1st, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewahamasisha wananchi kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025.

Ametoa hamasa hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Umoja Kata ya Rwabwere ikiwa ni mwendelezo wa ziara zake za kusikiliza na kutatua kero za Wananchi.

Katika ziara hiyo Mkuu wa Wilaya amesema ifikapo tarehe 29 Oktoba wananchi wote wenye sifa wanatakiwa kwenda kupiga kura ili kuchagua viongozi wanaowata wao.

"...tusifanye kosa la kusikiliza propaganda zinazoendelea tukashindwa kwenda kutekeleza haki yetu ya msingi, haki ya kikatiba ya kwenda kuchagua viongozi tunaoona watatuletea maendeleo, wewe usipoenda kuchagua  utaletewa kiongozi halafu baadae utalalamika," ameeleza Mhe. Msofe.

Matangazo

  • BIMA YA AFYA KWA WOTE January 13, 2026
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • FUM KYERWA DC YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

    January 22, 2026
  • DED KYERWA ATEMBELEA MIRADI YA AFYA

    January 20, 2026
  • MHE. BAHATI HENERICO ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA ALAT TAWI LA KAGERA

    January 14, 2026
  • KYERWA YAANZA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 13, 2026
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2025, ICT Department Kyerwa District Council . All rights reserved.