• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

WADAU KUCHANGIA MAENDELEO YA ELIMU KYERWA

Imewekwa tarehe: August 23rd, 2023

Wadau wa Elimu Wilaya ya Kyerwa wamekutana tar. 23 Agosti 2023 kujadili namna ya kukuza sekta ya elimu kwa kushirikiana na Mfuko wa Kusaidia Maendeleo ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education-GPE) katika ukumbi wa Shule ye Sekondari Kyerwa Modern.

Akiongoza kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewahamasisha wadau hao wa elimu kuchanga na kupata kiasi cha kutosha ili kiweze kuendeleza sekta ya elimu katika Wilaya ya Kyerwa na kuunga mkono juhudi za wahisani kutoka nje nchi.

 Akitoa wasilisho la mradi huo wa GPE, kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kyerwa, Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari Wilaya ya Kyerwa Mwl. Ndabazi Stephano amesema nchi ya Tanzania ni mnufaika wa mpango ambao ushatolewa kwa awamu mbili tofauti na  awamu ya tatu imepewa aina tatu ambazo  aina mbili  tayari Tanzania imenufaika nayo.

Ameeleza katika aina ya tatu GPE wameweka masharti ya Dola Moja ya Marekani sawa Dola Moja ya Marekani (USD I = USD I) ikizitaka kila nchi mnufaika kuchangia kiasi sawa na kile kitakachotolewa na hivyo kuwahimiza wadau wa elimu kuchangia kiasi kikubwa ambacho kitapelekea kupata hela nyingi za wafadhili hao na kuboresha elimu.

Kwa upande wao wadau wa elimu wameupokea mpango huo na wameonyesha mwamko kwa kuanza kuchangia na kujaza fomu za mikataba ya ahadi zao ambayo jumla wameahadi kuchangia Tsh 18,286,500/= kwa wadau waliokuwepo ukumbini hapo na wadau wengine wa Wilaya ya Kyerwa wataendelea kuchangia kabla mikataba ya ahadi kutumwa ngazi ya mkoa tar. 25 Agosti 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved