• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

DC KYERWA APOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MRADI WA KUFUA UMEME WA KIKAGATI MURONGO

Imewekwa tarehe: November 15th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya KyerwaMhe. Zaituni Msofe leo tar. 15 Novemba 2023 amepokea taarifa ya utekelezaji wamradi wa kufua umeme wa kituo cha Kikagati Murongo ulioko mpakani mwa Tanzania naUganda unaotumia maji ya Mto Kagera. 

Mradi huo ambao unazalishamegawati 14, ambazo saba huhudimia upande wa Tanzania na zingine saba huhudumianchi jirani ya Uganda unaendelea na huduma ya kutoa nishati hiyo ya umemepamoja na huduma nyingine za kijamii.

Akiwasilisha taarifa hiyo AfisaKiungo Jamii wa Kituo hicho Bi. Jackline Stewart amesema, miongoni mwa hudumahizo ni kutunza na kupanda miti katika eneo linalozunguka mradi, kuhamasishajamii kupanda miti, kufanya tafiti mbalimbali, kuwafuatilia na kuwahudumiawanufaika wa mradi ambao walilipwa fidia wakati wa uanzishwaji wa mradi nakujua hali zao.

Vile vile kufadhili masomona kutoa vifaa kwa vijana wanaozunguka mradi, kutoa elimu ya udhibiti wa taka,kutoa elimu za kijamii ikiwemo ya VVU na UKIMWI, pamoja na kutoa mikopo yenyeriba nafuu kwa wanachi wanaozunguka mradi huo.

Aidha Mkuu wa Wilayaamewashukuru na kuwapongeza kwa kuwajuza Wanakyerwa kinachoendelea katika mradihuo ikiwa pamoja na kutoa huduma ya umeme katika nchi ya Tanzania hasa Wilayaya Kyerwa na kuendelea kusaidia jamii inayozunguka mradi huo.

Wajumbe wengine wa Kikaohicho walikuwa ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kyerwa, Mwenyekiti wa Halmashauri,Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Wataalamu waHalmashauri na Wataalamu kutoka Ofisi ya Tanesco Kyerwa. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved