• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

DED, WAKUU WA IDARA NA VITENGO WATEMBELEA MIRADI YA MWENGE

Imewekwa tarehe: July 10th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa SACF. James John akiambatana na Timu ya Menejimenti ya Halmashauri, leo tarehe 10 Julai 2023 wametembelea miradi ya maendeleo na maeneo pendekezwa yatakayopitiwa na mwenge wa uhuru mwaka 2023.

Katika ziara hiyo Mkurugenzi amejionea maendeleo ya miradi hiyo na kutoa maagizo kwa wasimamizi wa miradi kwa kuwataka wakamilishe taratibu, nyaraka na vitu vyote vinahitajika kwa hizi siku chache zilizobaki kabla ya ujio wa mwenge.

Miradi iliyotembelewa ni pamoja na madarasa matano ya Shule ya Sekondari Nkwenda na kujionea uchongoji wa samani za, viti 80,  madawati 80, pamoja na viti vitano na meza tano za waalimu ambavyo vitatumiwa na wanafunzi na waalimu wa Shule ya Sekondari Nkwenda. Eneo la upandaji miti 500 katika shule ya msingi Kaaro, jengo la wodi ya wanaume wa magonjwa mchanganyiko katika Kituo cha Afya Nkwenda na viwanja vya stendi ya mabasi Kwenda ambavyo vitatumika katika sherehe za mkesha wa mwenge wa uhuru.

Miradi mingine ni kisima cha maji cha Kagenyi-Omukalinzi, kiwanda cha kukoboa kahawa cha Chama cha Ushirika cha Msingi Mkombozi pamoja na kutembele kipande cha barabara ya lami yenye urefu wa km 1.2 eneo la Rwenkorongo katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa.

Mwenge wa uhuru unatarajiwa kuanza mbio zake tar. 8 Agasti katika mkoa wa Kagera na katika Wilaya ya Kyerwa ni tar. 12 Agasti mwaka huu, ambapo miradi mbalimbali itatembelewa na kuwekewa jiwe la msingu  huku mingine ikuzinduliwa na kauli mbiu ya mwenge wa uhuru mwaka huu ni; Tunza Mazingira, Okoa Vyanzo vya Maji kwa  Ustawi wa Viumbe Hai na Uchumi wa Taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved