• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Mhe. Msofe azindua mpango wa kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa Watoto

Imewekwa tarehe: July 6th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe leo tar. 6 Julai 2023 amezindua mpango wa kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa umri chini ya miaka mitano katika Kituo cha Afya Nkwenda.

Akizungumza katika hafla hiyo amewahimiza wanchi wa Kyerwa kuchangamkia fursa hiyo ya kuwachukulia watoto wao vyeti vya kuzaliwa kwani vinafaida nyingi kwa mtoto na taifa kwa ujumla ambapo huduma hii inatolewa bure.

“Cheti cha kuzaliwa kina matumizi mengi; Hutumika katika kuandikisha watoto wanaoanza elimu ya msingi na wale wanaojiunga na elimu ya sekondari na sasa hivi huwezi kupata nafasi ya kujiunga elimu ya juu pamoja na kupata mikopo kwa ajili ya masomo hayo bila kuwa na cheti cha kuzaliwa.

Vile vile nyaraka hii ni kiambatanisho cha msingi ili kupata nyaraka nyingine za utambulisho kama kadi ya kupiga kura, kitambulisho cha taifa, pasi ya kusafiria, leseni ya udereva, mifuko ya Bima ya afya. Cheti cha kuzaliwa pia ni muhimu ili kupata ajira katika taasisi mbalimbali. Cheti cha kuzaliwa hutumika kubainisha mahusiano kati ya wanafamilia, vile vile kuisaidia serikali kupata takwimu.” Alisema Msofe.

Kwa upande wake Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa SACF. James John amesema mpango umeratibiwa vizuri, na halmashauri imejipanga vizuri kutekeleza zoezi hili kwa kuwapatia mafunzo stahiki, wasajili wasaidizi wote na kuna vifaa vya kutosha ambavyo vitasaidia zoezi hili kufanyika kikamilifu.

Pia Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Bahati Henerico amewapongeza wazazi hasa akinamama wa Kyerwa ambao wamejitokeza kwa wingi katika zoezi hili la kuwachukulia watoto wao yeti vya kuzaliwa.

Zoezi hili ambalo litafanyika kwa wiki mbili na baada ya hapo litaendelea kufanyika taratibu ili kuhakikisha kila mtoto anapata cheti cha kuzaliwa na limelenga kuwapatia watoto wapatao 66,745 katika wilaya ya Kyerwa ambalo limeratibiwa RITA.

Matangazo

  • TAARIFA YA FEDHA YA MWAKA 2024/2025 August 02, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPATIWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAKIPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 31, 2025
  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved