• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MIL. 584 KUJENGA SHULE YA SEKONDARI RWAKABUNDA KYERWA

Imewekwa tarehe: July 11th, 2023

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa SACF. James John amewapongeza wanakijiji cha Rwakabunda kata ya Bugara kwa kutoa eneo la ekari nane kwa ajili ya ujenzi wa shule ya sekondari katika maeneo yao.

Shule hiyo itakayogharimu kiasi Tsh 584,280,028 kutoka serikalini kuu kwa ushirikiano wa Benki ya Dunia kupitia mradi wa uboreshaji wa elimu ya sekondari nchini (SEQUIP).

SACF. James amewaomba wanakijiji kushirikiana na serikali katika kutekeleza mradi huo kwani utakuwa na faida nyingi kwao kwa watoto wao kupata elimu, kupunguza umbali wanaotembea kufuata shule zingine na utafungua fursa nyingi na kupelekea maendeleo ya haraka katika kijiji hicho.

“Mkipambana tutapambana pamoja, hii ni fursa ya kuja kwa wageni kama mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, mawaziri, na wageni wengine wa kiserikali na kisiasa ambao watakuja kutatua changamoto zingine.” alisema SACF. John.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Bugara Mhe. Bishanga Fredrick ameishukuru serikali na kuahidi ushirikiano wake katika kutekeleza mradi huo na kuipongeza serikali ya kijiji na wananchi kwa kushirikiana naye na kuomba ushirikiano huo uendelee ili kutekeleza mradi huo kwa wakati.

Akitoa maelezo ya awali Afisa Elimu Sekondari wa Wilaya ya Kyerwa Bw. Stephano Ndabazi amesema mradi huu utajengwa kwa miezi mitatu ambapo utaanza kwa vyumba nane vya madarasa, ofisi mbili, jengo la utawala, majengo ya maabara ya kemia na fizikia, pamoja matundu nane ya vyoo. Na awamu ya pili ya zitajengwa nyumba za waalimu na ununuzi wa vifaa vya tehama.

 Pia Wanakijiji cha Rwakabunda wamefurahishwa na ujio mradi huo na kuahidi wataendelea kutoa ushirikiano na kuchangia nguvu zao katika swala zima la kukamisha mradi huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved