• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

DC MSOFE ATOA NENO KATIKA MAADHIMISHO YA SIKU YA LISHE

Imewekwa tarehe: October 30th, 2023

Maadhimisho ya siku ya Lishe kitaifa pamoja na uzinduzi wa kampeni ya lishe kwa vijana balehe katika Wilaya ya Kyerwa yamefanyika tarehe 30 Oktoba 2023 katika Kijiji cha Muhulire Kata ya Nkwenda.

akizungumza na wananchi katika maadhimisho hayo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewahimiza wazazi na walezi kuimarisha malezi kwa Vijana balehe ili waweze kuwa na maamuzi sahihi na kujiepusha na tabia zisizofaa katika jamii kwani katika umri huo vijana wengi ndio hujiingiza katika makundi yasiyofaa.

Aidha amewataka wazazi na walezi kushiriki kikamilifu na kuimarisha lishe kwa watoto wa shule kwani hilo ni jukumu lao, ikiwa ni pamoja na kuanzisha bustani za mbogamboga katika shule ili ziweze kutumiwa na wanafunzi katika kuboresha afya zao.

 “Swala la Mbogamboga bado ni tatizo, watoto kweli wanakunywa uji lakini bado tunahitaji mbogamboga na matunda. Kyerwa inaardhi ya kutosha na shule nyingi zinaardhi za kutosha tujitahidi kuwa na programu ya kupanda mbogamboga ambazo zitatumiwa na wanafunzi kuboresha lishe zao.” Ameeleza Mhe. Msofe.

Kwa upande wake Afisa Lishe wa Wilaya ya Kyerwa, Bi. Arene Cleophace amesema vijana balehe ni kundi la watu ambao linamabadiliko mengi na linaitaji lishe iliyobora na pia ni kundi ambalo linatabia hasi za ulaji wa chakula kwa kufuata mkumbo ambao hupelekea kupata maradhi yasiyoambukizwa.

Kauli mbiu ya maadhimisho haya, “Lishe bora kwa vijana Balehe, Chachu ya Mafanikio yao” Kauli hii imepewa kipaumbele kwa Vijana kuelimishwa kuwa lishe bora husaidia kujenga mwili, kulinda mwili na husaidia kumuandaa kijana kuwa mzazi bora kwa kuimarisha afya na mifumo ya uzazi.

shughuli mbalimbali zimefanyika katika maadhimisho hayo ikiwemo; kutoa elimu ya lishe, mapishi kwa vitendo, tathmini ya hali ya lishe pamoja na kupanda miti ya matunda.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved