• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KYERWA DC TUMENUFAIKA, SERIKALI YATOA MAGARI MAWILI KWA AJILI YA HUDUMA ZA AFYA

Imewekwa tarehe: February 21st, 2024

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewapatia wananchi wa Wilaya ya Kyerwa Magari mawili yatakayotumika katika kutolea huduma za afya ambayo ni gari lakubebea wagonjwa (Ambulance) litakalotumiwa katika Kituo cha Afya Murongo pamoja na gari la usimamizi wa shughuli za afya katika Wilaya ya Kyerwa.

Akikabidhi magari hayo kwa Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Mbunge wa Jimbo la Kyerwa Mhe. Innocent Bilakwate leo Tar. 21 Februari 2024 katika Kituo cha Afya Murongo na kushuhudiwa na wananchi waliojitokeza kujionea zoezi hilo amemshukuru Rais Samia kwa kutoa magari hayo.

Mhe. Mbunge ametoa rai kwamba yatumiwe kwa kazi iliyokusudiwa na akisisitiza juu ya ‘Ambulance’ kubaki katika kituo cha Afya cha Murongo kutokana na eneo hilo kuwa mpakani na kuwa na umbali mrefu hadi kufika katika hospitali ya Wilaya na Maeneo mengine.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe ameishukuru Serikali inayoongozwa na chama cha CCM chini ya Rais Mama Samia kwa kuipatia Wilaya ya Kyerwa Magari hayo pamoja na Mbuge kwa kuisemea na kuipambania Wilaya kwa nafasi yake hadi Kupata Magari hayo.

Vile vile amewataka watumiaji wa magari hayo chini ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa kuyatunza na kuhakikisha yanawasaidia wananchi.

“Ukiona umependelewa umepewa Dhahabu basi itunze, kwa hiyo nitoe rai kwa wale wanaohusika na magari haya, magari haya yatunzwe vizuri, lakini yatumike kwa shughuli iliyokusudiwa na si vinginevyo,” Amesema Mhe. Msofe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved