• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

DC MSOFE AFANYA ZIARA KATA YA SONGAMBELE

Imewekwa tarehe: November 1st, 2023

Katika mwendelezo wa kutembelea na kufanya mikutano ya hadhara na wananchi yenye lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi, Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe, Novemba 1, 2023 amefanya mkutano wa hadhara katika Kijiji cha Migina kata ya Songambele katika Wilaya ya Kyerwa.

Pamoja na kusikiliza kero za wananchi, Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa amewataka wananchi wa Kata hiyo kutunza miundombinu ya barabara kwa kuacha kupitisha magari ya mizigo yenye uzito makubwa ambayo uzidi tani kumi kwani magari hayo huharibu barabara na kuvunja makaravati na kusababisha barabara hizo kutopitika na kusababisha kero kwa wananchi.

Amesema kila mwananchi anatakiwa kuwa mlinzi wa miundombinu hiyo na akiona magari yenye uzito mkubwa atoe taarifa sehemu husika ili hatua stahiki zichukuliwe na miundobinu hiyo iweze kudumu kwa muda mrefu na kuendelea kusaidia wananchi.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya Kyerwa amegawa vitambulisho vya NIDA 2,333 kwa wananchi wa Kata ya Songambele ambavyo vimekamilika na kuwasihi wale ambao hawakujiandikisha, wakajiandishe ili wapate vitambulisho vyao kwani zoezi hilo ni endelevu na linafanywa na Serikali bila malipo.   

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amewataka Viongozi wa Serikali ya Kijiji kusimamia na kutunza ardhi za vijiji na kuwazuia wananchi wa kata hiyo kuvamia ardhi za Kijiji na maeneo ya mabonde na milima kwani maeneo hayo ni mali ya Serikali ya Kijiji na mwanachi hatakiwi kuyavamia kiholela.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Kyerwa SACF. James John amewataka wananchi kuanzisha ujenzi wa Zahanati katika Vijiji vyao ili vikifikia usawa wa maboma serikali itamalizia hatua zinazobaki huku kuwapa taarifa njema kuwa Shule mpya ya Masingi ya Chanyangabwa imesajiliwa na hivyo kuwasihi wazazi kuwaandikisha watoto wao na kwenda kusoma katika Shule hiyo.

Katika ziara ya hiyo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa aliambatana na Katibu Tawala wa Wilaya, Mwenyekiti wa Halmashauri, Mkurugenzi Mtendaji, Viongozi wa Ulinzi na Usalama pamoja na wataalamu kutoka Halimashauri ya Wilaya ya Kyerwa, TARURA, RUWASA, NIDA na TANESCO.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved