• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KAMATI YA SIASA YA CCM YARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa tarehe: February 15th, 2024

Kamati ya siasa ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kyerwa leo tar. 15 Februari 2024 imetembelea na kukagua miradi mitano ya maendeleo na kuridhishwa na utekelezaji wa ilani ya chama kwa mwaka 2020 hadi 2025.

Akiongoza ziara hiyo, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kyerwa Ndg. Daniel Damiani amesema ameridhishwa na usimamizi wa miradi ambayo inatekelezwa na Serikali katika Wilaya ya Kyerwa huku akitoa maelekezo kwa kila mradi uliotembelewa na kukaguliwa.

Katika mradi wa Mwalo wa Samaki wa Katwe uliopo katika Kata ya Isingiro, kamati imeridhwa na usimamizi wa mwalo huo unaofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa na Serikali ya Kijiji huku ikitoa maelekezo kwa serikali kuhakikisha wavuvi wanawekewa mazingira mazuri ya barabara na kuboreshewa huduma za kijamii.

Vile vile Kamati imeipongeza Serikali kwa hali ya kuripoti wanafunzi wa kidato cha kwanza katika shule ya Sekondari ya Isingiro ambapo mpaka sasa wameripoti wanafunzi 283 ambayo sawa na asilimia 94 na kutoa rai kwa Serikali kufuatilia na kuhakikisha waliobaki wanaripoti shuleni.

Katika ukaguzi wa Barabara ya Anza Kuelimisha (KM 2.1) iliyoko Kata ya Kaisho inayogharimu kiasi Tsh. 32,990,880 inayojengwa kwa kiwango cha changarawe. Kamati imeipongeza Serikali na mkandarasi wa mradi huo DRK Merchants kwa kusimamia mradi huo kwa gharama nafuu.

Aidha katika mradi wa shule ya Msingi Rwesinga kata ya Rutunguru kamati imetembelea ujenzi wa vyoo matundu 27 ambayo yako katika hatua mbalimbali za umaliziaji na kuridhishwa na utekelezaji wa mradi huo.

Pia Kamati ilitembelea mradi wa Kituo cha Afya Rutunguru na kuridhishwa na huduma zinazotolewa kituoni hapo na kutoa maelekezo kwa Serikali kuhakikisha umeme unaunganishwa katika kituo hicho ili kuboresha huduma.

Matangazo

  • TAARIFA YA FEDHA YA MWAKA 2024/2025 August 02, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPATIWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAKIPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 31, 2025
  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved