• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

DC MSOFE AFUNGUA MASHINDANO YA UMITASHUMITA NGAZI YA WILAYA YA KYERWA

Imewekwa tarehe: May 22nd, 2024

Mashindano ya Michezo ya Shule za Msingi Tanzania ngazi ya Wilaya yamezinduliwa katika Shule ya Msingi Nkwenda katika Kata ya Nkwenda Wilaya ya Kyerwa.

Akifungua mashindano hayo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewataka wanafunzi wanaoshiriki katika mashindano hayo kujituma na kufanya vizuri katika ngazi zote watakazoshiriki, ikiwa ni pamoja na kudumisha nidhamu na utii katika mashindano hayo.

“mkawe mabalozi wazuri, wenye nidhamu na utii mtakapokuwa kwenye makambi ya Wilaya, Mkoa na Taifa ili kulinda jina la Wilaya yetu na kuiletea ushindi” ameeleza Mhe. Msofe.

Aidha amewataka wazazi kulinda na kuendeleza vipaji vya watoto wao, huku akitoa rai kwa waalimu kuendelea kuibua na kulea vipaji vya watoto katika Wilaya ya Kyerwa.

Awali Afisa Michezo wa Wilaya ya Kyerwa Ndg. Daima Nkinda amesema kuwa mashindano hayo yameanza tangu mwezi Februari mwaka huu kwa kuhusisha timu za madarasa kwa madarasa ili kuunda timu za shule na baadae kuunda timu ya Kata.

Baada ya hapo ziliundwa timu za Tarafa na leo zimeshindana kuunda timu ya Wilaya ya Kyerwa ambayo itaenda kushiriki mashindano ya Mkao tar. 26 Mei 2024 katika chuo cha Ualimu Katoke kilichopo Wilaya ya Muleba Mkoa Kagera.

Michezo inayoshindaniwa ni pamoja na Mpira wa Miguu, mpira wa pete, mpira wa wavu, riadha, ngoma za asili, muziki wa kizazi kipya pamoja na miruko ya juu na chini.

Kauli mbiu ya UMITASHUMITA mwaka 2024, Miaka 50 ya UMITASHUMITA Tunajivunia Mafanikio Katika Sekta ya Elimu, Michezo na Sanaa, Hima Mtanzania Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024.   

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved