• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KYERWA YAKUSANYA 104% YA MAPATO YA NDANI KWA MIEZI SITA

Imewekwa tarehe: February 1st, 2024

“Najiuliza kwa miezi sita kama tumevuka lengo inamaana tunaweza kukusanya mara mbili na zaidi ya tulichokuwa tumejipangia, kama miezi sita tumeweza kufikia asilimia 104 imaana tumejipangia kiwango cha chini, hilo likaangaliwe, hichi kiwango tunachojipangia sio stahili yetu, sisi tunauwezo zaidi ya hapo.”

Ni kauli iliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe wakati akitoa maelekezo ya serikali katika baraza la Madiwani lililofanyika leo Februari 01, 2024 katika ukumbi wa Rweru Plaza Wilaya ya Kyerwa.

Mhe. Msofe amesema kunavyanzo vingi vya mapato ambavyo havijasimamiwa vizuri na endapo vitasimamiwa kikamilifu Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa inaweza kukusanya mapato mengi zaidi na hivyo kuwataka wahusika kuongeza juhudi katika usimamizi na ukusanyaji katika vyanzo hivyo na kuibua vyanzo vingine vya mapato.

Aidha amewatahadharisha wananchi kuacha kujichukulia sheria mkononi kwani kuna vyombo vinavyohusika kutoa haki na kuwataka wananchi kuenda katika vyombo hivyo ili wakapatiwe haki zao

Kwa upande mwingine amewataka Waheshimiwa Madiwani na Wenyeviti wa Vijiji ambao wanashindwa kufanyakazi na Watendaji wa Kata na Vijiji na kumtaka Mkurugenzi Mtendaji kuwahamisha vituo vya kazi kwa kushindwa kuelewana nao wajitathmini na waache tabia hiyo mara moja kwani imekuwa ikifanyika kwa maslahi ya watu binafsi na sio kwa maslahi ya umma.

Akipokea maelekezo ya Serikali, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amemshukuru Mkuu wa Wilaya kwa kufuatilia utekelezaji wa shughuli za Halmashauri na kumtaka Mkurugenzi Mtendaji kuchukua hatua kwa baadhi ya Watendaji ambao sio waadilifu.   

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • TUSICHOME MOTO MAZINGIRA YETU-DAS KYERWA

    July 17, 2025
  • TUTUNZE UBORA WA KAHAWA-DAS KYERWA

    July 16, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved