• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

NYAVU ZA UVUVI HARAMU ZA 14,880,000 ZATEKETEZWA KYERWA

Imewekwa tarehe: December 16th, 2023

Wavuvi wanaovua samaki kwa kutumia nyavu haramu katika Ziwa Karenge wamekusanya pisi 124 za nyavu zenye thamani ya 14,880,000 kwa hiari, na zimeteketezwa na timu ya viongozi wa kiserikali kwa kushirikiana na wavuvi hao leo Tar. 16 Disemba 2023 katika mwalo wa Karenge.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa, Afisa Mifugo wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Bw. Prosper Rutakinikwa amewapongeza wote waliotoa nyavu zao kwa hiari huku akiwasihi wavuvi hao kuachana na uvuvi haramu amabao unapelekea kupunguza samaki katika ziwa hilo na akiwataka watoe taarifa za wale wanawauzia nyavu hizo ili waweze kufuatiliwa na sharia kufuata mkondo wake.

Kwa upande wake Afisa Uvuvi wa Wilaya ya Kyerwa Bw. Johannes Kabakama amesema uvuvi haramu unamadhara makubwa kwa jamii, pamoja na wavuvi wenyewe yakiwemo ya kuua mazalia ya samaki, kuua samaki wachanga, na pia samaki aliyevuliwa kwa nyavu hizo anakua hana ladha na huharibika haraka.

Aidha amesema zoezi hili litakuwa endelevu katika maziwa yote saba yalipo katika Wilaya ya Kyerwa na wakimaliza oparesheni hiyo wataunda vikundi vya ulinzi shirikishi ambavyo vitasaidia kulinda maziwa yote na kupelekea uvuvi wenye tija katika Wilaya ya Kyerwa.

Mwenyekiti wa Wavuvi wa Mwalo wa Karenge Bw. Enshekanabo Banobi amesema watashirikiana na serikali ili kukomesha uvuvi haramu na endapo watambaini mmoja wao anajishughulisha na uvuvi haramu hawatasita kumchulia hatua za kisheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved