• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

NYAVU ZA UVUVI HARAMU ZA 14,880,000 ZATEKETEZWA KYERWA

Imewekwa tarehe: December 16th, 2023

Wavuvi wanaovua samaki kwa kutumia nyavu haramu katika Ziwa Karenge wamekusanya pisi 124 za nyavu zenye thamani ya 14,880,000 kwa hiari, na zimeteketezwa na timu ya viongozi wa kiserikali kwa kushirikiana na wavuvi hao leo Tar. 16 Disemba 2023 katika mwalo wa Karenge.

Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa, Afisa Mifugo wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Bw. Prosper Rutakinikwa amewapongeza wote waliotoa nyavu zao kwa hiari huku akiwasihi wavuvi hao kuachana na uvuvi haramu amabao unapelekea kupunguza samaki katika ziwa hilo na akiwataka watoe taarifa za wale wanawauzia nyavu hizo ili waweze kufuatiliwa na sharia kufuata mkondo wake.

Kwa upande wake Afisa Uvuvi wa Wilaya ya Kyerwa Bw. Johannes Kabakama amesema uvuvi haramu unamadhara makubwa kwa jamii, pamoja na wavuvi wenyewe yakiwemo ya kuua mazalia ya samaki, kuua samaki wachanga, na pia samaki aliyevuliwa kwa nyavu hizo anakua hana ladha na huharibika haraka.

Aidha amesema zoezi hili litakuwa endelevu katika maziwa yote saba yalipo katika Wilaya ya Kyerwa na wakimaliza oparesheni hiyo wataunda vikundi vya ulinzi shirikishi ambavyo vitasaidia kulinda maziwa yote na kupelekea uvuvi wenye tija katika Wilaya ya Kyerwa.

Mwenyekiti wa Wavuvi wa Mwalo wa Karenge Bw. Enshekanabo Banobi amesema watashirikiana na serikali ili kukomesha uvuvi haramu na endapo watambaini mmoja wao anajishughulisha na uvuvi haramu hawatasita kumchulia hatua za kisheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • TUSICHOME MOTO MAZINGIRA YETU-DAS KYERWA

    July 17, 2025
  • TUTUNZE UBORA WA KAHAWA-DAS KYERWA

    July 16, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved