• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

WAFANYABIASHARA CHANGAMKIENI FURSA ZILIZOPO KYERWA

Imewekwa tarehe: August 1st, 2023

Baraza la Biashara la Wilaya ya Kyerwa limefanya kikao leo tar. 1 Agosti 2023 katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa kwa wadau mbalimbali wa biashara kutoka sekta za umma na binafsi kwa lengo la kuweka mazingira rafiki kwa wafanyabiashara.

Mwenyekiti wa Baraza hilo ambaye ni Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewapongeza wadau wa biashara waliojitokeza na kuwataka kuchangamkia fursa zilizopo ambazo zinaweza kusaidia kukuza uchumi wa Wilaya ya Kyerwa na kuzingatia sharia za biashara ambazo zimewekwa ili kuepusha migongano na serikali.

“Ninaona Kyerwa kuna fursa za kutosha lakini hazitumiki ipasavyo, kuna fursa za kuwepo kwa hifadhi za TANAPA, mazao ya kilimo, ufagaji, kuchimba mabwawa ya samaki, kuchakata mazao na kuacha kuuza ‘raw material’ (malighafi).” ameeleza Mhe. Msofe.

 Kwa upande wake Kamishna wa Mamlaka ya Hifadhi za Tanzania (TANAPA), kwa hifadhi za Ibanda na Rumanyika Bw. Charles Ngendo amewataka wafanyabiashara kuwekeza katika hifadhi hizo kwa kuchangamkia fursa za kuchimba mabwawa ya ufugaji wa samaki, miradi ya ufugaji nyuki, kujenga hoteli za kulala watalii, na kutoa huduma za usafirishaji.

Aidha Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Kyerwa SACF. James John awaasa wafanyabiashara kuchangamkia fursa za kuwekeza katika hifadhi za Ibanda na Rumanyika ambazo kwa miaka ijayo zitakuwa vivutio vikubwa vya utalii na kuwanufaisha wafanyabishara na Wilaya ya Kyerwa kwa ujumla.

Pia Afisa Biashara wa Wilaya ya Kyerwa Bw. Mathew Rufunjo amewakumbusha wafanyabiashara kuhakikisha wanasajili biashara zao kupitia mfumo mpya wa Tausi ambao unawarahisishia kupata leseni za biashara kwa njia ya kidigitali.

Baraza la biashara Kyerwa hujumuisha taasisi za serikali na wadau kutoka sekta binafsi wakiwemo viongozi na wawakilishi wa wafanyabiashara, pamoja na wadau wa maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA GARI August 27, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MHE. MSOFE ASISITIZA WANANCHI KISHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 01, 2025
  • KYERWA SINA DENI NA NYINYI-NDG. USSI

    September 11, 2025
  • MWENGE WA WA UHURU 2025 WAKABIDHIWA MKOANI KIGOMA

    September 15, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIKI KATIKA MAZOEZI

    September 19, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved