• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MDAHALO WA UHURU WAFANYIKA KYERWA

Imewekwa tarehe: December 9th, 2023

Wilaya ya Kyerwa imeadhimisha miaka 62 ya Uhuru kwa kufanya Mdahalo maalumu uliowakutanisha wadau mbalimbali kwa ajili ya kupeana elimu ya mambo yaliyofanywa na Serikali pamoja na kukumbushana historia ya Wilaya hiyo tangu uhuru wa Tanzania Bara Disemba 9, 1961.

Akizungumza baada ya mdahalo huo Mwenyekiti wa Maadhimisho hayo, Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewashukuru wadau waliojitokea na kuchangia maoni yao katika mdahalo huo ambao umemsadia kuijua Kyerwa ilikotoka, ilipo na kutafuta namna ya kuipeleka mbele.

Aidha amewataka Wanakyerwa kuishi na kauli mbiu ya maadhimisho ya Uhuru ya Mwaka huu isemayo Umoja na Mshikamano ni Chachu ya Maendeleo ya Taifa Letu. Mhe. Msofe amesema, “Hakika bila kuwa na umoja hatuwezi kupiga hatua … tuendelee na ‘spirit’ tulionayo ya kuwa wamoja na tushikamane kweli kweli katika kuleta maendeleo ya Wilaya yetu.”

Akiongoza Mdahalo huo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa SACF. James John amesema Wilaya ya Kyerwa imepiga hatua katika Nyanja mbalimbali za maendeleo ya Uchumi na uzalishaji ikiwemo; Kilimo, Mifugo, Uvuvi, barabara, umeme, na huduma za kijamii kama Maji, Elimu na Afya ukilinganisha na miaka michache iliyopita.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmshauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amependekeza kuwe siku ya Kyerwa (Kyerwa Day) ambayo itawakutanisha wadau na wananchi ili kuzungumzia mambo mbalimbali yanayoihusu Wilaya ya Kyerwa jambo ambalo limeungwa mkono na Mkuu wa Wilaya na litatafutiwa siku maalumu.  

Naye katibu wa Wazee Wilaya ya Kyerwa Mzee Ezekia Kanyonyi ameeleza historia ya Kyerwa na Mkoa Kagera kwa ujumla na kuwaomba Watanzania wamkumbuke na Kumuombea Mwl. Julius Nyerere ambaye alipigania Uhuru wa Taifa hili. Huku akizungumzia historia ya maendeleo ya elimu na miundombinu ya barabara ambayo kwa sasa imepiga hatua kubwa kwani zamani walitumia siku tatu kusafiri kutoka Kyerwa Mpaka Bukoba.

Baada ya Mdahalo huo Mhe. Msofe ameongoza zoezi la upandaji wa miti ya matunda katika viwanja vya Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa.

Mdahalo huo ulihudhuriwa pia na Kamati ya Ulinzi na Usalama, Katibu Tawala wa Wilaya, Wakuu wa Taasisi za Umma, Mhe. Diwani wa kata ya Kyerwa, Wazee maarufu, watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Kyerwa na umefanyika katika Ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved