• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAFANYIKA KYERWA

Imewekwa tarehe: November 8th, 2024

Mkutano wa Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa umefanyika leo tarehe 08 Novemba 2024 kwa ajili ya kujadili taarifa ya utekelezaji wa robo ya kwanza, kuanzia mwezi Julai hadi Septemba 2024/2025.

Mgeni rasmi wa Mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe ametoa rai kwa wananchi waliojiandikisha kujitokeza kwa wingi kwenye zoezi la kupiga kura ili kuwapata viongozi watakao waletelea mafanikio katika jamii zao na kufanya mikutano ya kampeni ya kistaarabu.

“Nitoe rai kwa wananchi wote wa Kyerwa tuliojiandikisha tukakamilishe lengo la kujiandikisha kwetu, tukakamilishe haki yetu ya msingi kwenda kuwachagua viongozi tunaoona watatuvusha, viongozi waliobora katika jamii zetu.

“Waheshimiwa Madiwani, Viongozi wa Kisiasa mko hapa mnanisikia twendeni tukahamasishe wananchi wajitokeze kwa wingi kwenda kutimiza haki yao ya kidemokrasia wakachague viongozi watakaoona wao ni bora katika jamii zao.

“Pia tunaenda kwenye kampeni, kama kiongozi wa ulinzi na usalama wa Wilaya, niwaombe sana ndugu zangu wanasiasa tukafanye siasa za kistaarabu, uchaguzi na kampeni wala sio vita, tukumbuke kuna maisha baada ya uchaguzi, tukumbuke kwamba sisi ni ndugu mmoja, isifike mahali tukatengeneza uadui kwa sababu tunaenda kufanya uchaguzi, hapana! uchaguzi upo kwa mujibu wa sharia lengo ni kuchagua viongozi lakini kutimiza haki ya kikatiba” amefafanua Mhe. Msofe.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico akisoma taarifa yake kwa Mgeni rasmi amesema Halmashauri Kyerwa inaendelea na usimamizi wa miradi mingi inayotekelezwa kupitia fedha za mapato ya ndani na fedha kutoka Serikali Kuu ili iweze kutoa huduma zenye tija katika jamii.

Aidha ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha nyingi kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya ya Kyerwa ikiwa ni pamoja na miradi ya afya, elimu, maji, barabara na umeme.

Pamoja na shukrani hizo, baadhi ya Waheshimiwa Madiwani wakichangia katika baraza hilo wameelezea juu ya uwepo wa changamoto ya maji katika kata zao na kuomba zishughulikiwe ili kuwakwamua wananchi wa maeneo yao.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved