• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

WAZIRI MKUU AFUNGA MAFUNZO YA UONGOZI KWA VIONGOZI WA MKOA WA KAGERA

Imewekwa tarehe: September 22nd, 2023

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa amefunga mafunzo ya uongozi kwa viongozi wa mkoa wa Kagera yaliyofanyika kwa siku tano katika ukumbi wa ELCT Hotel Bukoba Manispaa.

Mhe. Majaliwa amewataka viongozi hao kwenda kuyafanyia kazi maazimio na kutekeleza mipango na kuwataka kuwa weledi, waaminifu, na waadilifu kwa kila fedha zinazotolewa kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

“Viongozi katika Halmashauri zetu zote watumikieni zaidi wananchi msisubiri waje maofisini, sikilizeni changamoto zao, wapeni nafasi ya kuzungumza nanyi na nyinyi kumbukukeni mnatakiwa kuwajibika moja kwa moja kwa wananchi” amesema Mhe. Majaliwa.

Aidha amempongeza Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mhe. Hajjat Fatma Mwasa kwa kuanzisha mafunzo hayo kwa viongozi na kutoa wito kwa Wakuu wa Mikoa Mingine ya Tanzania kuendesha mafunzo ili kuleta tija na ufanisi katika kazi zao za kila siku.

Vile vile katika hafla ya kufunga mafunzo hayo Waziri Mkuu amekabidhi tuzo kwa Wilaya ambazo zimefanya vizuri katika utendaji wa kazi na kutoa huduma kwa wananchi kwa mwaka 2022/2023 ambayo Wilaya ya Kyerwa imeshika nafasi ya kwanza na kufuatiwa na Wilaya za Missenyi na Ngara.  

Mafunzo hayo yaliyoandaliwa na Mkuu Mkoa wa Kagera Mhe. Hajjat Fatma Mwassa yalikuwa na lengo la kufanya tathmini ya hali halisi ya Mkoa wa Kagera na kupanga mwelekeo wa pamoja utakaoleta mabadiliko ya kiuchumi na kijamii.

Mafunzo hayo yalihudhuriwa na viongozi wa Chama cha Mapinduzi Mkoa na Wilaya, Wakuu wa Wilaya, Makatibu tawala Wilaya, Wenyeviti wa Halmashauri, wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Taasisi za Umma na Wakuu wa Idara na Vitengo kutoka katika Halmashauri mbalimbali za Mkoa wa Kagera  yaliyoanza tarehe 18-22 septemba 2023.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved