• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office, Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

KYERWA YAANZA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Imewekwa tarehe: January 13th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa leo, Januari 13, 2026, imefanya kikao cha wadau wa Bima ya Afya kwa Wote kwa lengo la kuweka mikakati ya kuhamasishaji jamii kuelekea utekelezaji wa huduma hiyo, itakayozinduliwa rasmi hivi karibuni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akifungua kikao hicho kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Katibu Tawala wa Wilaya, Bw. Mussa Gumbo, amesema lazima tufahamu kwamba ugonjwa haupigi hodi ndio maana Serikali imekuja na bima ya afya kwa wote ili kuhakikisha kila mwananchi anapata bima ya afya.

"Sera ya Bima ya Afya kwa Wote inalenga kuhakikisha wananchi wote wanapata huduma za afya bila vikwazo vya kifedha ,hivyo nilazima tuweze kuwafikia wananchi na kuwaelimisha ili waweze kujiunga na kupata huduma ya bima ya afya " amesema Ndg. Gumbo.

Akielezea mkakati huo, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Dkt. Lewanga Msafiri, amesema kuwa huduma ya Bima ya Afya kwa Wote inatekelezwa chini ya Sheria Na. 13 ya mwaka 2023, Sura ya 365 ambapo mpango wa utekelezaji wake ikiwemo gharama za uchangiajia wa shilingi 150,000 kwa mchangiaji na wategemezi watano watakao hudumiwa kwa mwaka mzima.

Aidha ametoa rai kwa wajumbe wa kikao kushirikiana na Serikali katika kutoa elimu na kuhamasisha Jamii ili waweze kuanza kuwekeza kidogo  kidogo ili kuweza kujiunga pindi bima ya afya kwa wote itakapozinduliwa. 

Kwa upande wao washiriki wa kikao hicho wamesema wamepata uelewa mpana kuhusu Bima ya Afya kwa Wote na faida zake kwa kusema mpango huo utamwezesha mgonjwa kupata matibabu kuanzia ngazi ya zahanati hadi Hospitali za Rufaa na hivyo kupunguza gharama za matibabu na kupata huduma wakati wowote katika Vituo vya tiba bila kusumbuliwa.

Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa kwa kuwakutanisha Watendaji wa Vijiji, Watendaji wa Kata zote, wajumbe wa Kamati ya Menejimenti ya Halmashauri (CMT), Kamati ya Huduma za Afya ya Wilaya (CHMT), Maafisa Tarafa, Viongozi wa Dini na Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya.








Matangazo

  • BIMA YA AFYA KWA WOTE January 13, 2026
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAANZA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 13, 2026
  • CHAMA CHA MSALABA MWEKUNDU MKOA WA KAGERA CHALETA HAMASA MPYA KWA VIJANA

    December 30, 2025
  • CHETI CHA KUZALIWA NI HAKI YA MTOTO-DKT. LEWANGA

    November 08, 2025
  • WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MIONGOZO

    October 26, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2025, ICT Department Kyerwa District Council . All rights reserved.