• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office, Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

FUM KYERWA DC YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

Imewekwa tarehe: January 22nd, 2026

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango (FUM) ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa, Januari 22, 2026 imefanya ziara ya kutembelea  na kukagua miradi  sita (6) ya maendeleo yenye thamani ya Sh. 1,140,181,159 inayotekelezwa katika Halmashauri hiyo.

Akiongoza ziara hiyo Mwenyekiti wa kamati hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amepongeza utekelezaji wa miradi iliyotembelewa huku akiwashukuru wataalam wa Halmashauri kwa usimamizi mzuri wa miradi hiyo kwa ujumla.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa na kukaguliwa ni Ukamilishaji wa Maabara ya Fizikia na Baiolojia katika Shule ya Sekondari Rwabwere, Ujenzi wa Vyumba vinne vya madarasa na matundu 14 ya Vyoo katika Shule ya Msingi Nyarutuntu-Kata ya Nkwenda, Ujenzi wa Jengo la Wodi ya Wazazi katika Zahanati ya Rukuraijo.

Miradi mingine ni Shule ya Msingi ya Mchepuo wa Kiingereza ya Mapinduzi (Mapinduzi English Medium) na Ujenzi wa Shule ya Msingi Mpya ya Kyerwa Modern Kata ya Kyerwa pamoja na Kikundi cha Muungano Vijana Kyerwa kinachojishughulisha ya Ufyatuaji wa tofali na uuzaji wa madini ujenzi kinachonufaika na mkopo wa 10% wa Halmashauri.

Baada ya kutembelea na kukagua miradi hiyo, Kamati  imeelekeza kumalizia maabara mbili za shule ya Sec.  Rwabwere huku ikipongeza usimamizi mzuri wa Mradi wa Shule ya Msingi Nyarutuntu na kupendekeza shule nyingine kwenda kujifinza namna ya kusimamia miradi katika shule hiyo huku ikitaka miradi yote ikamishwe kwa wakati ili ianze kutoa hudumu kwa wananchi.


Vile vile kamati imetoa maelekezo kwa majukwaa ya Wazazi katika shule zote za Wilaya ya Kyerwa kuimarishwa, ili yaweze kutekeleza majukumu  yao ikiwemo kisimamia uripotiji wa wanafunzi na miradi, kusimamia michango inayochangwa na wazazi kwa ajili ya maendeleo ya shule isiweze kupotea kwa lengo la kuepusha migongano kati ya wazazi na watumishi.

Matangazo

  • BIMA YA AFYA KWA WOTE January 13, 2026
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • FUM KYERWA DC YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

    January 22, 2026
  • DED KYERWA ATEMBELEA MIRADI YA AFYA

    January 20, 2026
  • MHE. BAHATI HENERICO ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA ALAT TAWI LA KAGERA

    January 14, 2026
  • KYERWA YAANZA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 13, 2026
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2025, ICT Department Kyerwa District Council . All rights reserved.