• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

WAZEE NI TUNU YA TAIFA TUWALINDE-MHE. MSOFE

Imewekwa tarehe: October 18th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewataka wananchi kuwatunza,  kuwalinda na kuwaheshimu wazee kwa kuwa wao ni tunu na hazina ya Taifa ambayo tumepewa na Mungu.

Amesema hayo katika Sherehe ya Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani yaliyofanyika katika Kijiji cha Rubuga Kata ya Kitwechenkura Oktoba 18, 2025 ambapo Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa alikuwa Mgeni Rasmi wa sherehe hiyo.

 "Nasikitika sana kuona kuna vijana wanawasumbua wazee, kuna vijana wanadiriki kuwadhuru wazee, wengine wanawapiga na wengine wanapelekea mauaji ya wazee na wengine wanawanyang'anya Mali zao," ameeleza Mhe. Msofe.

Aidha Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi  wawatumie wazee kuchota maarifa na busara kutoka kwa wazee wakiwa bado wako hai na kusema hatasita kwachukulia hatua za kisheria watu ambao watawasumbua na kinyang'anya wazee haki zao.

Naye Mzee Ezekia Kanyonyi Katibu wa Baraza la Wazee Wilaya ya Kyerwa akisoma risala kwa niaba ya wazee, amemuomba mkuu wa wilaya  kuimarisha ulinzi kwa wazee na mali zao pia wameomba kupatiwa matibabu bure pamoja na kutungwa sheria na sera zitakazo wasaidia wazee kuwa sehemu ya maamuzi katika ngazi mbalimbali.

Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani  huadhimishwa ifikapo Oktoba 01 kila mwaka na kwa Wilaya ya Kyerwa yameadhimishwa tarehe 18 Oktoba yakiwa na Kauli Mbiu isemayo, "Wazee Tushiriki Uchaguzi Mkuu kwa Ustawi wa Jamii Yetu".








Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA GARI August 27, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WAZEE NI TUNU YA TAIFA TUWALINDE-MHE. MSOFE

    October 18, 2025
  • KYERWA: WANANCHI WANEEMEKA, KUGAWIWA MICHE YA KAHAWA ZAIDI YA MILIONI 5 BURE

    October 17, 2025
  • MAFUNZO YA VITENDO KWA WATAALAM WA WAFYA YA KUPAMBANA NA UTAPIAMLO

    October 16, 2025
  • WATAALAM WA AFYA WANOLEWA KUPAMBANA NA UTAPIAMLO

    October 13, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved