• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

CHETI CHA KUZALIWA NI HAKI YA MTOTO-DKT. LEWANGA

Imewekwa tarehe: November 8th, 2025

Novemba 7, 2025 Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Dkt.  Lewanga Msafiri  amefungua mafunzo maalum  ya kusajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa chini ya umri wa miaka mitano.

Mafunzo hayo yanafanyika kwa siku mbili katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa yakiwahusisha Maafisa Ustawi wa Jamii na watoa huduma katika vituo vya kutolea huduma za afya ili kuwajengea uwezo wa kwenda kuhakikisha watoto wote  wanaozaliwa katika vituo vyao wanapatiwa vyeti vyao.

"Moja wapo ya haki ya msingi ya  mtoto ni kuishi pamoja na kutambuliwa kuwa yeye ni raia wa nchi gani, amezaliwa tarehe ngapi,  pamoja na haki zake zote za msingi kama binadamu.

"Unapo mhudumia mama aliyejifungua  na ukaacha kumsajili mtoto na kumpatia cheti cha kuzaliwa, unakuwa unamnyima mtoto huyo haki yake ya msingi." ameeleza Dkt. Lewanga.

Naye Ndg. Albert  Sitini, Afisa Ustawi wa Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amesema kuwa, lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea uwezo watoa huduma juu ya kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa kila watoto wanayezaliwa kwenye vituo vyao.

"Hapo awali kulikuwa na changamoto ya upatikanaji wa vyeti  vya kuzaliwa hivyo Serikali imeweza kurahisisha zoezi hili  kwa kuwapa jukumu hili  Maafisa Ustawi wa Jamii ili waweze kusajili vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wa chini ya miaka mitano." ameeleza Ndg. Sitini.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA GARI August 27, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • CHETI CHA KUZALIWA NI HAKI YA MTOTO-DKT. LEWANGA

    November 08, 2025
  • WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MIONGOZO

    October 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA AWAONYA WANAOJICHUKULIA SHERIA MKONONI

    October 21, 2025
  • WAZEE NI TUNU YA TAIFA TUWALINDE-MHE. MSOFE

    October 18, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved