• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office, Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

CHAMA CHA MSALABA MWEKUNDU MKOA WA KAGERA CHALETA HAMASA MPYA KWA VIJANA

Imewekwa tarehe: December 30th, 2025

Chama cha Msalaba Mwekundu Tanzania (Tanzania  Red Cross  Society-TRCS) kwa kushirikiana na Baraza la Vijana Mkoa wa Kagera kila mwaka hufanya kambi ya vijana yenye lengo la kuwapa fursa ya kupata elimu na maarifa mbalimbali ya maisha ambayo ni ujasiriamali, ubinadamu na kujitolea katika jamii.

Akifungua kambi hiyo kwa mwaka 2025 kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mkuu wa wilaya ya kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewataka vijana hao kuzingatia maadili ya kiafrika pamoja  na kuwa wazalendo wa nchi zao.

"Tunapofanya kazi zetu tuzingatie maadili ya Kiafrika lakini pia tuzingatie uzalendo wa nchi  zetu, hakuna atakayetoka nchi nyingine aje aipende nchi yako hivyo basi uzalendo ndio kipaumbele chetu," amesema Mhe. Msofe

Aidha Mhe. Msofe amewataka vijana kutumia fursa mbalimbali zilizopo, ikiwemo mikopo ya vijana inayotolewa na Halmashauri  ili iweze kuwasaidia katika  kuwaletea maendeleo na kukuza  uchumi wao.

Awali Mwenyekiti wa TRCS Mkoa wa Kagera  Ndg. Leonard akieleza lengo la kambi hiyo amesema  sio kuwafundisha vijana kupambana na majanga tu bali ni kuwafundisha namna ya kupambana na umasikini kwa  kuwajengea uwezo wa kiuchumi ili watakapotoka  wakaanzishe vikundi vya wajasiriamali vitakavyo wasaidia  kujikwamua kiuchumi.

Kwa mwaka 2025 Kambi hiyo inafanyika katika Ukumbi wa Shule ya Sekondari Mabira Wilaya ya Kyerwa  kuanzia tarehe 28 hadi 30 Disemba 2025 ambapo jumla ya vijana 500 wa Mkoa wa Kagera na vijana waalikwa kutoka mikoa ya Kanda ya Ziwa na nchi jirani za Burundi, Rwanda,Uganda, Kenya, na Sudan kusini wameshiriki katika kambi hiyo.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA GARI August 27, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • CHAMA CHA MSALABA MWEKUNDU MKOA WA KAGERA CHALETA HAMASA MPYA KWA VIJANA

    December 30, 2025
  • CHETI CHA KUZALIWA NI HAKI YA MTOTO-DKT. LEWANGA

    November 08, 2025
  • WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA WAASWA KUZINGATIA SHERIA, KANUNI NA MIONGOZO

    October 26, 2025
  • MKUU WA WILAYA AWAONYA WANAOJICHUKULIA SHERIA MKONONI

    October 21, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2025, ICT Department Kyerwa District Council . All rights reserved.