• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

WATAALAM WA "ABEA" WAKUTANA NA WAFUGAJI MTANDAO WA "UNKWERWAKI" -NKWENDA

Imewekwa tarehe: November 24th, 2017

Wataalam kutoka ABEA walikutana na wafugaji wa ng'ombe wa maziwa na ng'ombe wa asili mnamo tarehe 23 Novemba,2017 kutoka kata za Nkwenda,Kikukuru,,Kimuli,Iteera,Rwabwere,Rukulaijo,na Kitwechenkula.Jumla ya wafugaji 58 walihudhuria. 

ABEA  ni kifupi cha neno "Animal Breeding East Africa" ,hii ni kampuni ya kimataifa iliyosajiliwa nchini,chini ya sheria ya makampuni (sheria namba 12 ya mwaka 2002).Aidha meneja wa ABEA kanda ya ziwa ndugu Yvonne Robben aliongoza ujumbe wa 

wataalam wanne(4).Kutoka ofisi ya mkurugenzi wa Halmashauri wataalam wawili (2),ndugu Prosper Rutakiniwa(Afisa mifugo Wilaya) na ndugu Rhoda Magadula(Mratibu wa tasnia ya maziwa Wilaya) walihudhuria mkutano huo ambapo walishirikiana na viongozi wa mtandao wa umoja wa wafugaji wa ng'ombe wa Maziwa Nkwenda(UNKWERWAKI) kuhamasisha wafugaji kuhudhuria mkutano huo.

Wataalam kutoka "ABEA" walitoa mada juu ya faida za kutumia njia ya uhimilishaji ng'ombe ili kupata ng'ombe bora wa maziwa na kuongeza tija.Aidha,mpango wa kuhimilisha ng'ombe uliwasilishwa kwa wafugaji na baada ya majadiliano kuhusu mpango huo,wafugaji waliupokea na jumla ya ng'ombe 26 wa maziwa walibainishwa ili kuanza shughuli za uhimilishaji na udungaji wa vichocheo vya kufanya ng'ombe waonyeshe dalili za joto(oestrous synchronisation).

Shughuli za upimaji wa ng'ombe waliobainishwa kwa ajili ya uhimilishaji itaanza tarehe 1 Desemba,2017,na ABEA itashirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa kuboresha mbari za ng'ombe Wilayani.Kauli mbiu ya ABAE ni "Ongeza tija na uzalishaji wa maziwa kwa kutumia mbari bora na kuwezesha ng'ombe wako kupata ndama kila mwaka kwa kutumia huduma za uhimilishaji".

Matangazo

  • TAARIFA YA FEDHA YA MWAKA 2024/2025 August 02, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPATIWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAKIPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 31, 2025
  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved