• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Prime Minister's Office, Regional Administration and Local Government Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Vituo vya afya vinne kunufaika na ‘solar system’ Kyerwa

Imewekwa tarehe: September 30th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa imepokea vifaa vya umeme wa jua (solar system) vyenye thamani ya Milioni 62 kutoka katika Kampuni ya Mavuno Project yenye makao yake Wilaya ya Karagwe Mkoa wa Kagera ili kuwezesha vituo hivyo kuwa na umeme wa uhakika na kutoa huduma muda wote.

Akipokea vifaa hivyo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa SACF. James John ameishukuru kampuni ya Mavuno Project kwa kutoa vifaa hivyo na kusema kuwa vitasaidia kwa Madaktari na watoa huduma wa vituo hivyo kutoa huduma muda wote.

“Lengo hasa ni kuweza kukabiliana na changamoto ya umeme hasa muda wa usiku. Kama mnavyofahamu umeme tunao na kuna wakati unakatika, kwa ‘solar panel’ zinatupa ‘assurance’ ya kufanya kazi muda wote na kuendelea kuwahudumia wagonjwa haswa Wamama wajawazito wakati wa kujifungua,” Ameeleza DED.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Dkt. Msafiri Lewanga ameeleza, vituo vya afya ambavyo vitanufaika na huduma hiyo kuwa ni vituo vya Rutunguru, Mabira, Murongo na Kamuli ambavyo vitapelekea Madaktari na wahudumu wa afya kufanya kazi kwa ari, moyo na weledi.

 Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kampuni ya Mavuno Project Bw. Charles Bahati amesema wameangalia vituo ambavyo vinatoa huduma kwa watu wengi na hivyo kutoa solar panel 16, betri 8 na charger controller 4 ambazo zitasaidia mwanga, kuchaji simu na matumizi ya Komputa na kuahidi kuendelea kushikirikiana na Wilaya Kyerwa kwa wakati ujao.

Matangazo

  • BIMA YA AFYA KWA WOTE January 13, 2026
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • FUM KYERWA DC YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

    January 22, 2026
  • DED KYERWA ATEMBELEA MIRADI YA AFYA

    January 20, 2026
  • MHE. BAHATI HENERICO ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA ALAT TAWI LA KAGERA

    January 14, 2026
  • KYERWA YAANZA MKAKATI WA UTEKELEZAJI WA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 13, 2026
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2025, ICT Department Kyerwa District Council . All rights reserved.