• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Ukaguzi wa miradi itakayotembelewa na mwenge wa uhuru wilaya ya Kyerwa 2023

Imewekwa tarehe: June 15th, 2023

Kamati ya ulinzi na usalama pamoja na kamati ya miradi wilaya ya Kyerwa ikiongozwa na mkuu wa Wilaya, Mhe. Zaituni Msofe, imekagua miradi na maeneo mbalimbali wilayani humo, kama sehemu ya maandalizi ya ujio wa mwenge wa uhuru mwezi Agasti mwaka huu.

Kamati hizo zimetembelea jumla ya miradi nane ambayo itatembelewa na mwenge kwa ajili ya kuwekewa jiwe na msingu na baadhi itazinduliwa. Pia maeneo mawili ya Kijiji cha Mabira, sehemu ambayo utapokelewa mwenge wa uhuru na eneo ambalo utalala mwenge wa uhuru katika viwanja vya standi ya mabasi ya Nkwenda.

Miradi miwili ambayo iko makao makuu ya Wiliya Kyerwa, Rwenkorongo ambayo ni barabra ya lami yenye urefu kilometa 1.2 uliogharimu milioni 500 fedha za mfuko wa jimbo na kiwanda cha kukoboa kahawa ambacho kinamilikiwa na chama cha ushirika cha msingi cha mkombozi limited ambacho kinauwezo wa kukoboa tani sita kwa saa.

Kamati hizo zimetembelea miradi mitatu katika kata ya Nkwenda kwa kuanza na eneo la upandaji miti 500 (ya matunda 200 na ya mbao 300) itakayo pandwa katika shule ya Kaaro, ukaguzi wa madarasa matano katika shule ya sekondari Nkwenda na jingo la wodi ya wanaume mchanganyiko katika kituo cha Afya Nkwenda.  

Aidha kamati ilitembelea miradi ya kitalu cha kuotesha miche ya miti mchanganyiko ya matunda na mbao, unaosimamiwa Taasisi ya Misitu Tanzanzia (TFS), kukundi bodaboda Juhudi chenye pikipiki kumi ambazo zilinunuliwa kwa fedha za mkopo zilizotolewa na Halmashauri,  mradi wa Maji katika kijiji cha Kagenyi-Omukalinzi pia mradi wa mabanda maonyesho, katika kijiji cha Nyakatuntu.

Mhe. Msofe pamoja na kamati ilikuwa ikitoa maagizo na maendekezo kwa wahusika wa kila mradi na kutaka yashugulikiwe mapema iwezekanavyo ambayo yalitolewa kuingana na hali ya mradi husika.

Alisisitiza swala la usafi wa mazingira katika maeneo yote ya miradi, kuhakikisha nyaraka zote za kumbumbu ziwekwe vizuri na kwa upande wa vijana wa Bodaboda wahakikishe wanafuata taratibu za usalama barabarani na kuhakikisha wote wanapitia mafunzo ya udereva na kupatiwa leseni.

Mkuu wa wilaya aliambatana na mwenyekiti wa wilaya, Mkurugenzi mtendaji, Katibu tawala wa wilaya na wakuu wa idara na vitengo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • ‘TAULO HIZI ZITAWASAIDIA WATOTO KUSOMA KWA UHURU NA UTULIVU’

    March 07, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved