• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

TUTUNZE UBORA WA KAHAWA-DAS KYERWA

Imewekwa tarehe: July 16th, 2025

Katibu Tawala wa Wilaya ya Kyerwa Bw. Mussa Gumbo ametoa wito kwa wananchi wa Wilaya ya Kyerwa kutunza ubora wa kahawa ili kuepuka kushuka kwa bei katika misimu ijayo na kuendelea kuwanufaisha wananchi, Wilaya na Taifa kwa ujumla.

Bw. Gumbo ametoa wito huo wakati akizungumza na Wananchi waliojitokeza katika Mkutano wa hadhara wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi uliofanyika katika Kata ya Isingiro Julai 15, 2025.  

“Kahawa hizi zinazozalishwa hapa zinaenda mpaka kwenye soko la kimataifa, tunapoharibu ubora wa kahawa yetu tunajiharibia wenyewe, kwa hiyo nitoe wito kwamba tuendelee kuhakikisha kahawa yetu inakuwa bora na kuitangaza Wilaya ya Kyerwa na Tanzania kwa ujumla,” ameeleza Bw. Gumbo.

Awali Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Bw. Meshack Libent akitolea ufafanuzi kuhusu kushuka kwa bei ya kahawa katika Wilaya ya Kyerwa, alieleza kuwa moja ya sababu ni kahawa kukosa ubora na hivyo kuwataka wakulima kuzingatia ubora wakati wa kuvuna, kuanika na kuhifadhi kahawa zao.

“Tuzingatie ubora wa kahawa, tuvune kahawa iliyokomaa vizuri, iliyoiva vizuri, tuikaushe vizuri na tuihifadhi vizuri ili tuweze kupata bei nzuri,” amesema Bw. Libent.

Aidha Katibu Tawala amewataka wananchi kuendelea kusimamia na kutunza miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika maeneo yao ili iendelee kuwanufaisha wananchi wanayoitumia miradi hiyo.

“Kuna wananchi hapa wamehoji juu ya ubora wa makaravati, Niwapongeze sana, haiwezekani mwananchi unaona kitu kimeharibika au hukielewi elewi alafu unakaa kimya, wakati mwingine usisubiri mkutano piga simu moja kwa moja kwa wahusika au viongozi wako ili hatua zichukuliwe,” amesema Katibu Tawala.

  

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • TUSICHOME MOTO MAZINGIRA YETU-DAS KYERWA

    July 17, 2025
  • TUTUNZE UBORA WA KAHAWA-DAS KYERWA

    July 16, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved