• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

TUTUNZE MAZINGIRA KWA FAIDA YA VIZAZI VYETU VIJAVYO

Imewekwa tarehe: April 23rd, 2024

Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Tar. 23 Aprili 2024 katika Wilaya ya Kyerwa umefanyika usafi wa mazingira na kupanda miti katika Kituo cha Afya Nkwenda.

Akiongoza Watumishi wa Umma pamoja na Wananchi Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewataka kuendelea kutunza mazingira kwa faida ya kizazi kijacho kwani Wilaya ya Kyerwa imebarikiwa kuwa na hali nzuri ya hewa na inatakiwa kutunzwa.

Mhe. Mkuu wa Wilaya amesema wananchi wote ambao wamegawiwa miti wanatakiwa kuitunza na kuwahimiza wafike katika Ofisi za TFS zilizopo Rubwera ili wakapewe miti ya kupanda katika maeneo yao na waendelee kutunza mazingira.

“Utunzaji wa mazingira ni suala nyeti sana, tusione tunasherehekea hapa tunapata mvua mara mbali kwa mwaka hii yote ni kwa sababu kuna waliokuwa wamepanda miti na wakaitunza kwa hiyo na sisi tumepewa miti, na mingine tukachukue tukapande na tukaitunze ili kuhakikisha kizazi chetu kinachokuja baadae wanaendelea kupata hali ya hewa kama tunavyopata sisi, ameeleza Mhe. Msofe.

Mkuu wa Wilaya pia amewatembelea akinamama waliojifungua na wanaotarajia kujifugua katika kituo cha Afya Kwenda kwa lengo la kuwajulia hali na kuongea nao ikiwa ni moja ya shughuli zilizopangwa kufanyika katika kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania huku akiwafariji kwa zawadi.

Kauli mbiu ya Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru inasema, “miaka 60 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tumeshikamana na Tumeimarika kwa Maendeleo ya Taifa Letu.” 

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • TUSICHOME MOTO MAZINGIRA YETU-DAS KYERWA

    July 17, 2025
  • TUTUNZE UBORA WA KAHAWA-DAS KYERWA

    July 16, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved