• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Tusiwe Chanzo cha Magendo-Nguvila

Imewekwa tarehe: June 16th, 2023

Mkutano wa Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya Kyerwa umepitia na kujadili hoja za taarifa ya ukaguzi wa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa hesabu za Serikali (CAG)  za mwaka wa fedha 2021/2022 ambacho kimefanyika tar. 16 Juni mwaka huu.

Katika kikao hicho Katibu Tawala Mkoa wa Kagera Bw. Toba Nguvila akimwakilisha mkuu wa Mkoa Kagera ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa kwa kupata hati safi na kutoa rai ya kuendea kuwa na sifa hiyo.

Bw. Nguvila amesema halmashauri ilipata hoja 16 katika mwaka wa fedha 2021/2022 ambazo ziliibuliwa na Mkaguzi mkuu wa serikali, ambazo sita zimefungwa na hoja kumi bado ziko katika utekelezaji na kuwataka wahusika kushughulikia hoja zilizobaki ili zifungwe.

Aidha Bw. Nguvila amewataka Madiwani na watumishi wa halmashauri kudhibiti magendo ya utoroshaji wa kahawa kwani unaikosesha halmashauri mapato.

“Sisi tuwe chanzo cha kudhibiti magendo na tusiwe chanzo cha magendo … Madiwani, Mkuu wa Wilaya, Mkurugenzi Mtendaji, msiwe wapole kwenye wizi na ubadhilifu wa fedha za umma”, Alisema Bw. Nguvila.

Vile vile amewaagiza madiwani wote kushirika kikamilifu katika mbio za mwenge wa uhuru 2023 ili kuisadia wilaya ya Kyerwa kupata alama nyingi na awali alianza na zoezi la kutembele miradi yote itakayotembelewa na mwenge wa uhuru na kujionea  hali nzuri ya miradi hiyo.

Aidha awali akizungumza na baraza Mkuu wa Wilaya Bi. Zaituni Msofe amewahimiza waheshimiwa madiwani na watumishi wote wanaohusika na kukusanya mapato waongeze bidii kwa kuwa huu ni msimu wa kuvuna kahawa na dio zao kuu linaloongoza kwa mapato katika wilaya ya Kyerwa.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Bahati Lekayo ametoa rai ya kutosafirisha kahawa usiku ili kupunguza mianya ya magendo ya utoroshaji wa kahawa jambo ambalo limeungwa mkono na wajumbe wote wa baraza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved