• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

TUSICHOME MOTO MAZINGIRA YETU-DAS KYERWA

Imewekwa tarehe: July 17th, 2025


Katibu Tawala wa Wilaya ya Kyerwa Bw. Mussa Gumbo, Julai 16, 2025 amefanya ziara katika Kijiji cha Rwenkende Kata ya Kibingo ikiwa ni mwendelezo wa kusikiliza na kutatua kero za wananchi katika Wilaya ya Kyerwa.  

Akizungumza na Wananchi waliojitokeza katika Mkutano huo amewataka kuacha kuchoma moto ovyo katika mazingira yao hasa katika kipindi hiki cha kiangazi ambapo wananchi wanatarajia kuanza shughuli za kuandaa mashamba.

 “Kuna tabia ya kuchoma moto hovyo, hiyo tabia ikome mara moja kwa sababu mtachukuliwa hatua za kisheria. Tusitegemee Mkuu wa Wilaya au Mtendaji wa Kata au Afisa Tarafa aje, wanaochoma moto tunawajua, kwa hiyo ukiona mtu anachoma moto toa taarifa, sisi tutakuja kumkamata na kuchukua hatua za kisheria,” ameeleza Bw. Gumbo.

Aidha Bw. Gumbo amewataka wananchi kuendelea kuchangia miradi ya maendeleo, kuisimamia na kuitunza ili iendelee kutoa huduma na kuwanufaisha wananchi wanaoitumia miradi hiyo.

Vile vile amewataka wananchi kuendelea kuchangia chakula shuleni, kulinda na kuwafundisha watoto maadili mema ili kuendelea kuwa na kizazi bora cha sasa na cha baadae huku akiwataka wananchi kuacha kujichukulia sheria mikononi pamoja na kutunza amani ya nchi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • TUSICHOME MOTO MAZINGIRA YETU-DAS KYERWA

    July 17, 2025
  • TUTUNZE UBORA WA KAHAWA-DAS KYERWA

    July 16, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved