• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

Imewekwa tarehe: April 26th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewataka Wananchi kuulinda Muungano wa Tanzania ili umoja na mshikamano baina ya Watanzania uendelee kudumu kwa maslahi ya mapana ya Taifa.

Ametoa kauli hiyo leo tarehe 26 Aprili 2025 katika  Maadhimisho ya Sikukuu ya Muungano yaliyoambatana na zoezi la kufanya usafi wa mazingira, kupanda miti na kukagua miradi ya vyumba viwili vya madarasa na matundu 24 ya vyoo ambayo imekamilika katika shule ya Msingi Rwensinga iliyoko Kata ya Rutunguru Wilaya ya Kyerwa.

"Watanzania tuko wengi sana lakini niwaambie zaidi ya asilimia 90, tumezaliwa ndani ya Muungano, tuendelee kufundishana na kuwafundisha watoto wetu ili waujue na kuuenzi Muungano wetu", amesema Mhe. Msofe

Mkuu wa Wilaya ametumia Mkutano huo pia kuwakumbusha Wananchi kuhusu Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika  Oktoba Mwaka huu, Huku akiwataka wale ambao hawajahuisha taarifa zao, kushiriki katika zoezi la uboreshaji taarifa kwenye Daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 1 hadi 7 Mei 2025 katika Wilaya ya Kyerwa.

Vile vile Mhe. Msofe amewataka Wananchi kuendelea kuunga mkono jitihada zinazofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuleta fedha nyingi za utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Wilaya ya Kyerwa.

Kauli Mbiu ya Maadhimisho ya miaka 61 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni “Muungano wetu ni Dhamana, Heshima na Tunu ya Taifa, Shiriki uchaguzi mkuu wa mwaka 2025.”

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved