• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Tumieni Mfumo wa TAUSI Kupata Leseni za Biashara

Imewekwa tarehe: June 23rd, 2023

Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Bw. Mathew Rufunjo ametoa elimu juu ya kutumia mfumo mpya wa TAUSI ambao humsaida mfanyabiashara kupata leseni kwa njia ya kidigitali.

Hayo yamefanyika katika kata ya Nkwenda wilayani Kyerwa ambapo amekutana na baadhi ya wafanyabiashara na kuwaeleza namna ya kutumia mfumo huo pamoja na faida zake kwa wafanyabiashara wa kisasa wanaoendana na ulimwengu wa kidigitali.

“Mfumo ambao unaweza kumsaidia mfanyabiasha kupata leseni za biashara, leseni za vileo, ushuru wa huduma, leseni za hoteli, kodi ya pango na vibali vya ujenzi kwa njia ya kidigitali na bila kufika katika ofisi za halmashauri.

Ukiwa na simujaja yako, namba ya NIDA, TIN namba na bando lako unaweza kujisajili kupitia link https://tausi.tamisemi.go.tz  wewe mwenyewe bila kufika katika ofisi za halmashauri.” Alsema Bw. Rufunjo.

Aidha amewataka baadhi ya maafisa usafirishaji wa pikipiki maarufu kama bodaboda na bajaji ambao hawana leseni, kuhakikisha wanakata leseni za usafirishaji kwani kufanya shughuli hiyo bila leseni ni kunyume na sharia na wanaweza kuchukukuliwa hatua.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA GARI August 27, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MHE. MSOFE ASISITIZA WANANCHI KISHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 01, 2025
  • KYERWA SINA DENI NA NYINYI-NDG. USSI

    September 11, 2025
  • MWENGE WA WA UHURU 2025 WAKABIDHIWA MKOANI KIGOMA

    September 15, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIKI KATIKA MAZOEZI

    September 19, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved