• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

TUACHE UKATILI KWA NDUGU ZETU WENYE UALBINO-DC MSOFE

Imewekwa tarehe: July 15th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe ametoa rai hiyo wakati akizungumza na wananchi wa Wilaya hiyo katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Kihanga Kata ya Isingiro tarehe 15 Julai 2024 wenye lengo la kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Mhe. Mkuu wa Wilaya amesema kutokana na tukio la kuuliwa kwa Albino lilitotokea hivi karibuni katika Wilaya jirani ya Muleba amewataka wananchi, wazazi, ndugu jamaa pamoja na viongozi kushirikiana katika kuwalinda watu hao dhidi ya watu wenye nia mbaya ambao wanataka kuwadhuru watu wenye ulemavu wa ngozi.

 “Nafahamu hivi karibuni katika Wilaya Jirani ya Muleba kulitokea huo mkasa, Ndugu zangu niwaambie tu wale ni binadamu kama walivyo binadamu wengine, wala hakuna uhusiano wa Albino na wewe kutajirika, tuache kukatisha uhai wa hawa watoto, tuache kukatisha uhai wa ndugu zetu, tuache Imani potofu.” ameeleza Mhe. Msofe.

Aidha kero mbalimbali zilizoibuliwa katika mkutano huo ni pamoja na ukosefu wa maji safi na salama, kutokuwekwa matuta katika kivuko cha barabara katika eneo la shule ya Msingi Kihanga, kutofikiwa na umeme katika baadhi ya Vitongoji, kutokuwa na Vitambulisho vya taifa, upungufu wa Walimu, umaliziaji wa miundombinu ya afya pamoja na michango ya lishe.

Vile vile baadhi ya wanufaika wa TASAF kutolewa huku hali zao zikiwa duni, wezee kutonufaika na shirika la kusaidia wazee huku likiwatoza ada ya usajili na biashara ya butula ni miongoni mwa kero zilizojitokeza na kutolewa ufafanuzi na wataalam walioambatana na Mkuu wa Wilaya huku kero zingine zikichukuliwa kwa ajili ya utekelezaji zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO LA UTOAJI WA VITAMINI A NA UPIMAJI WA HALI YA LISHE KWA WATOTO WA UMRI KUANZIA MIEZI 6 HADI 59 November 27, 2023
  • TANGAZO LA MABADILIKO YA BEI YA USHURU WA MKUNGU WA NDIZI December 31, 2023
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • MNASTAHILI PONGEZI KWA USIMAMIZI, UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 07, 2025
  • MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA AWAMU YA PILI YATOLEWA KYERWA

    April 29, 2025
  • TUNAPASWA KUULINDA MUUNGANO WETU-DC. MSOFE

    April 26, 2025
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved