• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Timu ya Wilaya kwa ajili ya kubaini na kutathmini maeneo ya maziko(Makaburi) yatembelea eneo la Rubwera/Rwenkorongo

Imewekwa tarehe: September 8th, 2017

Timu ya wataalam toka Halmashauri ikiongozwa na Afisa Ardhi wa Wilaya ndugu Richard Mayiku mnamo tarehe 7 septemba,2017

walitembelea eneo la mpango mji wa Wilaya eneo la Rubwera ili kufanya tathmini na mapitio ya eneo lililotengwa kwa ajili ya maziko.Suala hili limekuja kutokana na kuwapo na muitikio mdogo wa wananchi kuzika katika eneo ambalo limepangwa kwa madai mbalimbali ikiwamo kuwa eneo tengwa halifai kwa maana kwa kiasi cha ekari 5 kati ya ekari 11 zilizotengwa kwa ajili ya makaburi zinatwama maji kipindi cha masika.

Aidha,naye ndugu Yasin Mwinory-Afisa mazingira Wilaya ya Kyerwa,alibainisha kuwa kwa mujibu wa sheria ya Afya ya Jamii ya mwaka 2009,kifungu cha 126,kifungu kidogo cha 5 inasisitiza kuwa eneo la maziko linatakiwa kuwa mita 100 mbali na maeneo ya makazi ya watu,na vyanzo vya maji.Hivyo alishauri yatafutwe maeneo mengine mbadala yanayokidhi viwango kwa mujibu wa sheria,kanuni,na taratibu za afya na mazingira.

Kwa miaka mingi utamaduni wa wananchi wa Wilaya ya Kyerwa wamekuwa wakizika ndugu,jamaa,na wapendwa wao katika maeneo ya mazaki ya nyumbani kwa marehemu wakiamini kuwa kwa kufanya hivyo ni kutomtelekea marehemu/kumtupa tofauti na kwenda kumzika katika makaburi ya jumuiya.

Timu hii inaendelea kubaini maeneo mengine ya maziko katika miji ya Nkwenda,Mabira,Isingiro,na Murongo kubaini changamoto zinazojitokeza katika maeneo hayo na kutoa suruhisho la namna bora ya kutenga maeneo hayo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved