• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Nyaraka za Miradi Zishughulikiwe Mapema-Mhe. Msofe

Imewekwa tarehe: June 30th, 2023

MKUU wa Wilaya ya Kyerwa Mhe. Zaituni Msofe amewataka wasimamizi ya miradi mbalimbali itakayotembelewa na Mwenge wa uhuru mwaka 2023, kuandaa nyaraka zote zinazohusika na kufanyia kazi maelekezo yaliyotolewa na kamati ya mwenge mkoa waliokuja kukagua miradi hiyo tar. 16 Juni Mwaka huu.

Amesema hayo leo katika kikao cha tatu cha maandalizi ya kuupokea mwenge wa uhuru mwaka 2023 kilichofanyika katika ukumbi wa CCM Wilayani Kyerwa chenye lengo la kujua maendeleo ya utekelezaji wa miradi na ukusanyaji wa michango ambayo inatolewa kwa ajili ya kuwezesha upokeaji wa Mwenge katika Wilaya ya Kyerwa.

Mhe. Msofe amesema wasimamizi wa miradi ambayo itatembelewa na mwenge wa uhuru mwaka 2023 ilitembelewa na kamati ya mwenge mkoa na wasimamizi hao walipewa maelekezo na  kuyafanyia kazi kabla ya ujio wa mwenge katika Wilaya ya Kyerwa.

Baadhi ya miradi walitakiwa kuandaa nyaraka zote zinazohusika, zikiwemo za manunuzi, mihutasari ya vikao vya bodi, vyeti vya watoa huduma na usalama vya NEMC, OSHA, na Zima Moto.    

Katika uwasilishwaji wa taarifa hizo baadhi ya wasimamizi wa miradi wamefanyiakazi maagizo hayo huku wengine wakiendelea na utekelezaji na wametakiwa kushughulikia kasoro zilizobaki mapema ili kujiweka katika mazingira mazuri kabla ya ujio wa mwenge wa uhuru.

Miradi itakayotembelewa na mwenge wa uhuru kwa ajili ya kuwekewa jiwe la msingi na baadhi kuzinduliwa katika wilaya ya Kyerwa ni Madarasa matano ya shule ya sekondari Nkwenda, eneo la upandaji miti katika shule ya msingi Kaaro, ujenzi wa wodi ya magonjwa mchanganyiko katika kituo cha afya Nkwenda, kutembelea kikundi cha Bodaboda cha BODABODA JUHUDI, Kitalu cha miti Rubwera, barabara ya lami yenye urefu wa km 1.2 makao makuu ya Halmashauri na kiwanda cha kukoboa kahawa.

Matangazo

  • TAARIFA YA FEDHA YA MWAKA 2024/2025 August 02, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI NGAZI YA KATA WAPATIWA MAFUNZO

    August 04, 2025
  • MAAFISA MIFUGO WAKIPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA UFUATILIAJI NA UTAMBUZI WA MIFUGO

    July 31, 2025
  • NG’OMBE 93,984 KUPATIWA CHANJO KYERWA

    July 24, 2025
  • MKUU WA WILAYA AFANYA ZIARA YA KUSIKILIZA NA KUTATUA KERO ZA WANANCHI RUKURAIJO

    July 23, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved