• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MWENYEKITI WA JUMUIYA YA WAZAZI TAIFA AFANYA ZIARA KYERWA

Imewekwa tarehe: March 17th, 2024

Leo 17 Machi 2024 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Ndugu Fadhili Magaya amefanya ziara ya kikazi katika Wilaya ya Kyerwa yenye lengo la kukagua miradi inayotekelezwa na Serikali ya awamu ya Sita na Kufanya mkutano wa hadhara kwa lengo la kusikiliza kero za wananchi na kuzishughulikia.

Katika ziara yake Ndg. Magaya amekagua mradi wa ujenzi wa Chuo cha VETA-Kyerwa, Mradi wa Chakalisa-Kimuli, Zahanati ya Rwenyango-Kimuli na Kituo cha Afya Kamuli na Kufanya mkutano wa hadhara katika Kata Kamuli.

Akizungumza kwa nyakati tofauti baada ya kukagua miradi hiyo Ndg. Magaya ameridhishwa na utekelezaji wa Miradi hiyo ambayo inasimamiwa na Serikali ya Wilaya Kyerwa kupitia Halmashauri, RUWASA na Ofisi ya Mdhibiti Ubora.

Aidha baadhi ya changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa miradi hiyo ametoa maelekezo ili ziweze kushughulikiwa na nyingine amezichukua kwa ajili  ya kuzishughulikia na kuleta ufanisi na tija ya miradi hiyo katika kuhudumia wananchi.

Ametembelea pia Mradi wa Shule ya Sekondari ya Zamani Rumanyika iliyopo Kata ya Nkwenda na kujionea hali ya mradi huo ambao umesimama kutoa huduma huku akiwataka Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Kyerwa ambao ndio wasimamizi wa mradi huo kusitisha zoezi la kumtafuta mwekezaji nakuahidi kulishughulikia suala hilo ili mradi huo uanze kutoa huduma.

Katika mkutano wa hadhara alisikiliza kero ya wananchi na kuzitolea ufafanuzi huku akitaka suala la uchaguzi wa Viongozi wa Vyama vya Msingi ufuatiliwe ili kuondoa mkanganyiko uliopo katika kuwapata viongozi wa vyama hivyo. Vile vile ameahidi kabla hajamaliza ziara yake ya Mkoa wa Kagera atakuwa amelipatia ufumbuzi suala la Wilaya ya Kyerwa kuwa na Chama chake cha Ushirika.

Ziara hiyo ya siku moja ilikuwa ikijumuisha viongozi wa CCM na Serikali katika Wilaya ya Kyerwa, baadhi ya viongozi wa CCM na Mamlaka za Mkoa pamoja na baadhi ya viongozi wa Jumuiya ya Wazazi Taifa.  

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHA GARI August 27, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • MHE. MSOFE ASISITIZA WANANCHI KISHIRIKI UCHAGUZI MKUU

    October 01, 2025
  • KYERWA SINA DENI NA NYINYI-NDG. USSI

    September 11, 2025
  • MWENGE WA WA UHURU 2025 WAKABIDHIWA MKOANI KIGOMA

    September 15, 2025
  • JAMII YAHIMIZWA KUSHIKI KATIKA MAZOEZI

    September 19, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved