• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAFANYIKA KYERWA

Imewekwa tarehe: May 17th, 2024

Mkutano wa Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa umefanyika leo tar. 17 Mei 2024 kwa ajili ya kujadili taarifa ya utekelezaji wa robo ya tatu ya kuanzia mwezi Januari hadi Machi 2023/2024.

Akihutubia katika mkutano huo Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa Mhe. Bahati Henerico amesema makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa yamekuwa yakiongezeka mwaka hadi mwaka.

Amesema hadi kufikia mwezi machi 2023/2024 Halmashauri imekusanya 4,135,475,577 sawa na asilimia 125.12 ya makadirio ya mapato ya ndani na kuahidi kuendelea kusimamia vyanzo vyote vya mapato na kukusanya zaidi.

Akitoa maelekezo ya Serikali kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa, Katibu Tarafa wa Tarafa ya Mabira Ndugu Mussa Jumanne amewataka Waheshimiwa Madiwani kushirikiana katika kupambana na magendo ya kahawa kwani tayari kuna wananchi ambao wanavuna kahawa mbichi na kuenda kuuza nchi za nje.

Aidha ameitaka Halmashauri kupitia Idara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji kuongeza nguvu katika kukusanya mapato kupitia wafanyabiashara wa maduka ambao hawana leseni na hawalipi ushuru na hivyo kuacha mianya mingi inayopelekea Serikali kukosa mapato.

Akitolea ufafanuzi wa hoja zilizoibuliwa na Waheshimiwa Madiwani katika mkutano huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa SACF. James John pamoja na mambo mengine amesema Halmashauri imejiwekea utaratibu wa kujenga Zahanati mbili kila mwaka kwa kushirikiana na jamii.

Amesema kwa mwaka huu Halmashauri kwa kupitia mapato yake ya ndani na michango ya jamii inajenga Zahanati za Businde na Rwensheshe na mwaka jana Halmashauri ilijenga Zahanati za Kaina na Katera na kuwataka Waheshimiwa Madiwani kushirikiana na Serikali kwa kuwahimiza wananchi kuchangia miradi ya maendeleo.

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI WAFANYIKA KYERWA


Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI MBALIMBALI June 30, 2025
  • TANGAZO LA KAZI KADA YA AFYA July 09, 2024
  • TANGAZO LA KAZI July 17, 2024
  • TANGAZO UPANGISHAJI WA FREMU ZA MADUKA KATIKA STENDI YA MABASI MAZIWA NKWENDA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 June 12, 2025
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • KYERWA YAPONGEZWA KWA KUPATA HATI SAFI

    June 17, 2025
  • NI SWALA LA KUAMUA TU, SISI WANAKYERWA HATUTAKI UCHAFU

    May 31, 2025
  • DC AFUNGUA MAFUNZO YA JESHI LA AKIBA

    May 29, 2025
  • TUSHIRIKIANE KUPAMBANA NA MAGENDO YA KAHAWA-DAS KYERWA

    May 14, 2025
  • Tazama vyote

Video

KUFUNGA MAFUNZO YA MGAMBO WILAYANI KYERWA
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved