• Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Kyerwa District Council
Kyerwa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa

  • Mwanzo
  • kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Halmashauri
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Takwimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo na Umwagiliaji
      • Mifugo na Uvuvi
      • Fedha na Biashara
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Teknolojia, Habari na Mawasiliano
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Kata
      • Kata zetu
  • Fursa za uwekezaji
    • Kivutio cha Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Viwanda
  • huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti wa Halmashauri
  • Miradi
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
    • Itakayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Taarifa
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Maktaba ya picha
    • Huotuba za Viongozi
    • Video

Milioni 179 zakopeshwa kwa vikundi vya wanawake na vijana kyerwa

Imewekwa tarehe: December 31st, 2021

“Leo nina jukumu kubwa moja la kuwakabidhi  mikopo  vikundi vya  wanawake . Mikopo hii ni katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020 ya Chama cha Mapinduzi ibara ya 230 (“a” hadi “d” )” –ni kauli ya Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa alipokuwa katika sherehe ya kugawa mikopo kwa vikundi 26 vya Wanawake na Vijana inayotolewa na Halmashauri.

Katika halfa hiyo, iliyohudhuliwa pia na Mwenyekiti wa Halmashauri ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Rwabwere, Mheshimiwa Bahati Henerico, jumla ya vikundi 17 vya Wanawake vilipatiwa mkopo wa shilingi 92,640,000/=,na shilingi 87,000,000/= zilikabidhiwa kwa vikundi 9 vya Vijana.

Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa imekuwa ikitenga kiasi cha 10% ya mapato yake ya ndani kwa ajili ya kukopesha vikundi vya Wanawake, Vijana na Walemavu.Halmashauri ina jumla ya vikundi 320 vilivyosajiliwa.Kwa mwaka wa fedha 2021/2022, Wilaya imetenga kiasi cha Tsh: 199,853,360.

Mheshimiwa Rashid Mwaimu( Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa) ambaye ndiye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo, aliupongeza uongozi wa Halmashauri kwa kutenga fedha kwa ajili ya Wanawake,Vijana , na Walemavu na kusisitiza kuwa uchambuzi wa Vikundi vyenye sifa ufuate miongozo iliyowekwa na Serikali ili ilete matokeo chanya kwa watakaokopeshwa.

Matangazo

  • Tangazo la Nafasi za Kazi Mwisho 8/11/2021 October 28, 2021
  • Tangazo la Tozo katika Mnada wa Mifugo January 01, 2021
  • Kuitwa Kazini nafasi 27 watendaji wa vijiji May 17, 2018
  • ORODHA YA MAJINA YA WALIOITWA KWENYE USAILI WA NAFASI YA WATENDAJI WA VIJIJI TAREHE 26-27 JUNI, 2020 June 19, 2020
  • Tazama vyote

Habari mpya

  • Wilaya ya Kyerwa yaadhimisha siku ya Muungano kwa kufanya usafi

    April 26, 2022
  • Miche ya kahawa zaidi ya milioni 3 kugawiwa kwa wakulima

    February 25, 2022
  • Skauti Kyerwa Yasajili wanachama Wapya 226

    February 19, 2022
  • Milioni 179 zakopeshwa kwa vikundi vya wanawake na vijana kyerwa

    December 31, 2021
  • Tazama vyote

Video

Kamati ya siasa ukaguzi wa Miradi Kyerwa
Video zaidi

Viungio

  • Dira na dhima ya Halmashauri
  • Maktaba ya picha

Viungio linganishi

  • Tovuti ya Mkoa wa Kagera
  • Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa
  • Salary Slip
  • Ofisi ya Rais, TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
  • Ikulu

Kifuatilia wageni

world map hits counter

Mapokezi ya wageni

free HitCounter

Ramani

Wasiliana nasi

    Kyerwa District Council

    Anuani ya Posta: P.O Box 72, KYERWA

    Simu ya mezani: +255 686 397 972

    Simu ya Mkononi: +255 754 422 746

    Barua pepe : ded@kyerwadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Hakimiliki©2017 GWF, Kyerwa District Council. All Rights Reserved